ERoni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 52,439
- 119,009
Aaaah jmn mbon hvo lakinHata Mwaka haujachanganya vizuri we tayari ushameza nyoka
#jokes


sina mpngo uo wa kumeza nyoka saa hv mimiAta simjui mkuu tumekutana bank tu tumekaa kiti kmojaa hapo nimempga picha ata hajuiHuyo big anaonekana mlokole aisee umemuiba



Ata simjui mkuu tumekutana bank tu tumekaa kiti kmojaa hapo nimempga picha ata hajui![]()

usiwaze mkuu kidding tuHahaha....dah!! we jamaa bhana

Yule dada unamuonaga kanisani amevaa kama hivyo ndio Mimi Sasa.ningependa jpili hii nkukaribishe Ibadan tusali pamoja,
![]()
Maishani mwangu sidhani kama nitakuja vaa suruali ya hivi.

Maishani mwangu sidhani kama nitakuja vaa suruali ya hivi.
Ila umependeza![]()




Hii mboba fresh unavaa mpk ukweli msweet wangu jmnNimechapia ila nilimaanisha mbona fresh tu unavaa mpk ukweniHii mboba fresh unavaa mpk ukweli msweet wangu jmn


Ukija olewa ukoo wetu ukavaa hivyo watakufukuzaNimechapia ila nilimaanisha mbona fresh tu unavaa mpk ukweni![]()



Mwaya me siwwzi vaa ukweni suruali mamyUkija olewa ukoo wetu ukavaa hivyo watakufukuza![]()
Mbona nguo imetoboka
Me sijui kwa nn imetobokaMbona nguo imetoboka
Mwaya me siwwzi vaa ukweni suruali mamy






.Warudishie dukaniMe sijui kwa nn imetoboka
Mbona nguo imetoboka
Me sijui kwa nn imetoboka






Na uwezi amani ata nikienda kwetu sivaagi suruali kuna sheria matata ata kimin uwezi vaa ati ....ila niko kwangu navaa navo jisikia ila nihakikisha tu nisionane na baba, mjomba,wala kaka nitakula mbata barabarn za kutoshaUkija olewa ukoo wetu ukavaa hivyo watakufukuza![]()






Mishono mingi ya vitenge ina-base kwenye shift na solo. Ni kuongeza tu ujanja kidogo ili kitenge kichangamke. Utashona peplum, au off shoulder, kuna hii style ya maputo, tarumbeta n.k. ukitoka hapo aah mbona unanoga mama Mtumishi. Hata plain shift na solo ukizishona vizuri unadamshi kabisaaa.Sasa Bora wewe inawezekana ni za kisasa kidogo.
Mimi zote ni za mvuto,solo,shift.
AiseeNa uwezi amani ata nikienda kwetu sivaagi suruali kuna sheria matata ata kimin uwezi vaa ati ....ila niko kwangu navaa navo jisikia ila nihakikisha tu nisionane na baba, mjomba,wala kaka nitakula mbata barabarn za kutosha![]()


