Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Nyie ndo mnakuwaga na mategemeo makubwa hakyamama tena mwisho unakuwa disappointed.haki endelea kujidanganya billdrago

Usichunguze sana Braza kaka.karibu
image.jpg
 
Baba yangu mzee wa miaka 60's anashabikia litimu lenu..Mimi na nikashabikie litimu la hovyo hivyo[emoji21]si Bora hata niwe aseno[emoji38]
wew ilibidi ndio uwe man u like father like daughter sijui unafeli wapi na livakuku hio.. mby pameanza kua na foleni nipo mafiat hapa naanzia mbalizi naanza kurudi mpaka uyole
 
[emoji3][emoji3][emoji3]

Inaonekana darasani ulikuwa unakumbuka hadi nukta ya mwl yani hausahau kabisa.
Nilikuwa nasahau balaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kichwa kinalia tu "zzzzzzz" mwanzo hadi mwisho wa pepa[emoji1787]
Yale masomo ukikumbuka kila kitu mbona unaweza changanyikiwa ukajikuta unaenda milembe[emoji38]

Haya Sasa weka kapicha[emoji2960]
 
Back
Top Bottom