Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,248
Sasa hivi namtafuta Mungu na helatuliza presha mdogo wangu nitakusitiri wew endelea kumtafuta kwanza mungu

Sasa hivi namtafuta Mungu na helatuliza presha mdogo wangu nitakusitiri wew endelea kumtafuta kwanza mungu

Saint AnneSasa hivi namtafuta Mungu na hela![]()
Hujambo?
Janga





Itika kwanza ndo tusalimiane mkuuHujambo?
Mwadila mola?
NaamItika kwanza ndo tusalimiane mkuu
Teh!!Naam
Naitika kiheshimiwaTeh!!
Unaitika naam wewe mvulana/mwanaume?
Abee
Ng'wagoko ng'wanike olemhola sana





Teh!!...Mh nani vile?Naitikakiheshimiwa![]()
Ile kesho ambayo uliisema Jana ndio Leo sasa..nasubiri uselfike.



wew ilibidi ndio uwe man u like father like daughter sijui unafeli wapi na livakuku hio.. mby pameanza kua na foleni nipo mafiat hapa naanzia mbalizi naanza kurudi mpaka uyoleBaba yangu mzee wa miaka 60's anashabikia litimu lenu..Mimi na nikashabikie litimu la hovyo hivyosi Bora hata niwe aseno
![]()
billdragowew ilibidi ndio uwe man u like father like daughter sijui unafeli wapi na livakuku hio.. mby pameanza kua na foleni nipo mafiat hapa naanzia mbalizi naanza kurudi mpaka uyole
acha nibaki na mtazamo wangu aisee, duu kinywaji gani iko sio Bei ya kiwanja hio ,hapo kilimanjaro zangu sinapata kreti mbiliNyie ndo mnakuwaga na mategemeo makubwa hakyamama tena mwisho unakuwa disappointed.haki endelea kujidanganya billdrago
Usichunguze sana Braza kaka.karibu
View attachment 1665706
niaje ngosha leo sijakuona Sana ulikua unaishughulikia kuku pori nin?
Nilikuwa nasahau balaa
Inaonekana darasani ulikuwa unakumbuka hadi nukta ya mwl yani hausahau kabisa.








Fresh tu mkuu vipi kwemaniaje ngosha leo sijakuona Sana ulikua unaishughulikia kuku pori nin?