Chakorii
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 18,785
- 51,527
Yes babeYNWA
Yes babeYNWA
Mambo yataenda vizuri tunakuombeaHahahah usijali nitawaatika wote muniombee tu mungu asije tokea mubabe mambo yakaenda kombo
Usiniambie 😁😁😁
Uliza moderator atakwambia, hizi picha zinatia kichefuchefu. YNWA wakati mtakatifu yupo peke yake hapo?
😂😂 utaweza kulima wew kushika jembe mtoto mlaini hata kuvunja biskuti huweziWewe bill sasa😅😅😅nakuja kwako sasa
Kaza hizo nati vizuri sasaKawaida tu kuna muda dish linayumba chanel zinakata na kuna muda linakaa sawa chanel zinasoma![]()
Na sasa hivi 2021 mtoto wa 2002 ana miaka 18 kazi ipo Supply inazidi kuongezeka, m'pambanie kombe. Yani ukiombwa namba fasta sana unataja hahahhHongera kwa ndoa,wenzangu na mimi aluta continua hadi mitano iishe![]()
livakuku kishingo
Hafu kumbe nyie ndo mnafanya wanawake wa JF waonekane wote matajiri😂😂 utaweza kulima wew kushika jembe mtoto mlaini hata kuvunja biskuti huwezi
Ni wivu tu 😁livakuku kishingo
Yaani hata wa 2010 wakiingia sokoni mimi sijali kabisaNa sasa hivi 2021 mtoto wa 2002 ana miaka 18 kazi ipo Supply inazidi kuongezeka, m'pambanie kombe. Yani ukiombwa namba fasta sana unataja hahahh

Janga
sitimbi ya masaki 😅Hafu kumbe nyie ndo mnafanya wanawake wa JF waonekane wote matajiri
Haya ni maisha ya mjini tu miaka 17 nyuma kwanzia sasa nilikuwa ni mtoto wa sitimbi kabisa aiseh bill
makontena mapya vijana wanasemaEti wakiingia sokoni
Kwahiyo Mungu anaweza kukuandikia isiwe pia ausio ?
Yeahh Nimekumbuka bhana Mavyuoni ndio wana hako kasumba kontena la 2021 limefika TPAmakontena mapya vijana wanasema

Janga gani we sawima, kumbe nawe ni wale wale tu!Janga

Endelea kujidanganya tu.nawazoom tu🤛🤛sitimbi ya masaki 😅
Wapiiiiiiiiii 😁😁😁
ilikua ni kujichagulia tu kugombaniana na vi assistant lecturesYeahh Nimekumbuka bhana Mavyuoni ndio wana hako kasumba kontena la 2021 limefika TPA![]()
chakorii wa KISHUA fullstop,, ushageuka daslamu ,, karibu mbeyaEndelea kujidanganya tu.nawazoom tu🤛🤛