Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Kuolewaa ni sheria babygirl...

Ata uzunguke dunia nzima siku moja utaitaji kuwa na mume na family alafu mimi sio mara ya kwanza kuchumbiwa ati hii ni mara pili nilisha chumbiwa na muboy wangu tuliye dumu kwa muda mrefu kwa mausiano ila tulivunja kutokana na tabia za mshikaji alikuja kubadilika na kunifanya ngoma tena nakumbuka mpk nilikuja kuomba mpk ushahuri jf kama kuna mtu alisha pitia page zangu basi alisha kutana nao uo uzi
 
Ishi maisha yako, fanya unacho kiona ni sawa,

Ila kuna umri utafika utakuwa na huo uitaji..

Alafu mbali na hvo pia kuolewa ni bahati
siku mungu akikutunuku utaolewa tu wala usiwe na wasiwasi

mimi nilijikomit kwa mahusiano ambayo nilipenda mpk kufikia hatua ambayo niliona naenda kufa niache maisha, nilimuombea sana nilifunga na kusali kwa ajili yake lkn alibadilika kiasi kikubwa sana kiasi kwamba kila mtu aliniona naenda kufa kisa mapenzi ila siku niliyo muacha wala hakuna aliye nishauri tena..

Toka hapo sijui kubembeleza mausiano kwa ajili ya kutaka ndoa naamin mungu akikupa wako kila kitu kinaenda vzuri

Nashukuru nimepata

Kwa hyo kama unajiona haueleweki ipo siku utaeleweka tu mpenzi na utaeleweka kwa mtu ambaye mungu anakuletea sio unaye mtaka wewe
Sikutegemea haya maneno linah kiukweli.

Kumbe uko vizuri mdogo..nilikuwa natikisa kibiriti chako.uko vizuri.🤛🤛🤛
 
0669360D-D02C-4A59-83D2-439097834457.jpeg
 
Back
Top Bottom