linahbaby
JF-Expert Member
- Jul 18, 2020
- 1,087
- 3,084
Barua ya mwenyekit wa mtaa na mhuri wa tendaji na namba ya nida tafadhali vinaitajikaNikope laki 1.

Barua ya mwenyekit wa mtaa na mhuri wa tendaji na namba ya nida tafadhali vinaitajikaNikope laki 1.

Mama mkwe hawezi songa ugali ila alinitafutia mtu wa kunisaidia tuWatoto wa kishua Bwanahamjui kupika kwenye mafiga.
Kusonga ugali kwenye mafiga ni rahisi mno kuliko mkaa,Mimi napenda kutumia mafiga kwenye kusonga ugali.
Kwahiyo mama mkwe akakusaidia kusonga
Ila mambo ya ukweni jamaniMimi ikitokea nikaolewa nikienda basi nikae tu siku chache...mambo ya kuishi na ukoo mzima kwa siku nyingi kwa kweli siwezi kabisa.
soon tu tutaona inshallahvipi alikuoa pamoja na hekaheka zote hizo?
Ndio.hafu bill wewe😁😁😂😂 Cha kulala bila kyupi ndio umeona kizuri eeh
usiogope ukweni wapo wawili tu na mbwa wetu nae yumo kwenye share so ukipika unapika msosi wa watu wanne






Kbsaaa maybe kanisani ndo navaa magauniUkivaa gauni hauwi huru??
Tuanze na namba ya NIDABarua ya mwenyekit wa mtaa na mhuri wa tendaji na namba ya nida tafadhali vinaitajika![]()
Nimewaze kwa nguvu tu mambo ya Januaryjamani watu wabaya

Kama ni yangu basi ninayo.Nikutumie picha yako
Aaaha uchokozi ndo mezoeakuna baharia ataona zaid ya upeo wa macho yetu

Kwahiyo unatushauri nini sisi dada zako ambao hatuelewekiKuolewaa ni sheria babygirl...
Ata uzunguke dunia nzima siku moja utaitaji kuwa na mume na family alafu mimi sio mara ya kwanza kuchumbiwa ati hii ni mara pili nilisha chumbiwa na muboy wangu tuliye dumu kwa muda mrefu kwa mausiano ila tulivunja kutokana na tabia za mshikaji alikuja kubadilika na kunifanya ngoma tena nakumbuka mpk nilikuja kuomba mpk ushahuri jf kama kuna mtu alisha pitia page zangu basi alisha kutana nao uo uzi
Nakutania bhana.Kama ni yangu basi ninayo.
Nina picha za kila aina,Nina za suruali pia na nguo fupi na humu nilishawahi kuweka..Nina za vitenge pia.
Ila nilichosemea Mimi kuvaa Kama hivyo na kuzurura mtaani siwezi..nyumbani naweza vaa na nisione shida kabisa.
Oh hapo sawa.Mama mkwe hawezi songa ugali ila alinitafutia mtu wa kunisaidia tu
mzee wa city umeamua kuja kujificha huku na kvant
AiseeeKbsaaa maybe kanisani ndo navaa magauni
Asubhi tu.mzee wa city umeamua kuja kujificha huku na kvant