Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Sasa juilize kabla ya 2020 hawa loserfool walikuwa wapi, yaani nyie watu natamani malaika ashuke tu![emoji23][emoji23]
Nimeanza kushabikia liver tangu nimezaliwa enzi za kina Gerrard na Torres mie nilikuwa liver na sijawahi kuhama..
Kop amekuja juzi ametukuta na liver yetu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nimeanza kushabikia liver tangu nimezaliwa enzi za kina Gerrard na Torres mie nilikuwa liver na sijawahi kuhama..
Kop amekuja juzi ametukuta na liver yetu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Enzi za Gerrard na Torres sio issue, issue hapa ni huwa mlikuwa mnajifungia wapi sisi tukishabikia timu zetu[emoji23][emoji23]mlikuwa mnasikitisha sana, mshukuruni Klopp.
 
Enzi za Gerrard na Torres sio issue, issue hapa ni huwa mlikuwa mnajifungia wapi sisi tukishabikia timu zetu[emoji23][emoji23]mlikuwa mnasikitisha sana, mshukuruni Klopp.
Kwanza kabisa acha kutaja Liverpool na vitu vya ajabu Kama asenal

Liver timu kubwa wewe[emoji23][emoji23][emoji23]
Miaka yote tupo constant..Mwaka Juzi tu tukavuma zaidi [emoji91]

Sasa aseno tangu mmbahatishe kipindi kill mmekuwa bure kabisa
 
Ulishawahi kupigwa ngumi ukiwa Uyole ukadondokea Mbalizi?
Kwani aseno waliwahi kuwa serious?[emoji38][emoji38]
Hawawezi kunipiga,wewe mpira tu wanashindwa kucheza ,ukiwaona utasema mashujaa[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji119]
IMG-20201206-WA0062.jpg
 
Wewe wa Kishua, hata mwandiko nimeudeku unaprint ki Njiro flani
Kumbe na wewe una mawazo kama ya billdrago ..kwanzia sasa hivi nawahakikishia ni natafuta pesa kwa hali na mali nije niishi maisha ya mwandiko wangu..hakyamama tena sasa natafuta pesa kwa uchungu.

Haiwezekani maisha yangu hayaendani na mwandiko wangu.haiwezekani kabisa
 
Kumbe na wewe una mawazo kama ya billdrago ..kwanzia sasa hivi nawahakikishia ni natafuta pesa kwa hali na mali nije niishi maisha ya mwandiko wangu..hakyamama tena sasa natafuta pesa kwa uchungu.

Haiwezekani maisha yangu hayaendani na mwandiko wangu.haiwezekani kabisa
Bora mwamba nae kaniunga mkono maana najua ungenishinda tu, ongeza kutafuta ujazilizie tu
 
Back
Top Bottom