mshipa
JF-Expert Member
- Jun 16, 2015
- 12,355
- 23,084
Kupofuka siwezi aiseeMwshoe upofuke macho shauri yako,![]()
Ila uko vizuri sio mchezo
Kupofuka siwezi aiseeMwshoe upofuke macho shauri yako,![]()
Vip tena kuna shidaOoooh! My God

Dear zangu zipo natuma na sifuti![]()
![]()
Utadhani baby wangu wewe ni hodari sana wa kutuma picha hapa,
Hamna shida umeniitikia vizuri na kwa upole sanaVip tena kuna shida![]()
Basi mama, ngoja niangalie tena hii picha




nacheka tyuuuh hapa, utatazama na visivyotazamika lol.nacheka tyuuuh hapa, utatazama na visivyotazamika lol.


Kila kitu kipo vizuri... InatazamikaBinamu, shangazi yangu analalamika hulali nyumbani, kwanini unamkosea mama yako adabu.Vip tena kuna shida![]()
Pale wanaume tunapo fanya uzinifu kwa kutamani hizi pisi,Basi mama, ngoja niangalie tena hii picha maana inaondoa stress
Hivi mnazipendea nini hizi lite

Huyo chui tuHivi mnazipendea nini hizi lite![]()

Kwa mstari huo wa biblia wanaume wote motoni...labda kama una goviPale wanaume tunapo fanya uzinifu kwa kutamani hizi pisi,
kitabu cha Mathayo kinasema kwa mwanaume alietamani kwa muangalia mwanamke basi ameshatenda dhambi.. Leo umeshatamani pisi ngapi tangu umeamka
Bado sijatoka nje ila huko ig daahPale wanaume tunapo fanya uzinifu kwa kutamani hizi pisi,
kitabu cha Mathayo kinasema kwa mwanaume alietamani kwa muangalia mwanamke basi ameshatenda dhambi.. Leo umeshatamani pisi ngapi tangu umeamka



Kwa mstari huo wa biblia wanaume wote motoni...labda kama una govi
Fanya maungamo yani Ungama kila jumamos ikiwezekana kila siku maana ni dhambi ya kujitakia, funga macho yako, hata kanisani mnaangalia pisi kali

Umeshazini kwenye picha za mitandao kuni zinakungoja... Unstall Instagram apkBado sijatoka nje ila huko ig daah![]()


kukaa karibu na Mungu![]()
![]()
Fanya maungamo yani Ungama kila jumamos ikiwezekana kila siku maana ni dhambi ya kujitakia, funga macho yako, hata kanisani mnaangalia pisi kali
![]()



mabadiliko yanaanza na wewe