linahbaby
JF-Expert Member
- Jul 18, 2020
- 1,087
- 3,084
Kwan shangazi yako hataki wajukuu ? jmn [emoji2][emoji2][emoji2] mwambie nalala kwa aliye mzalia mimi siye wake tena ni wawatu muda wa kuchukuliwa unakaribia atabaki kunikisia tu kwa simu[emoji23][emoji23]Shangazi anasema urudi nyumbani... Nimeogopa kumwambia upo wapi[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]