Hiyo tarehe katikati ni hatari sanaumeweka code hapo mwenyeweeeee





Mtu ns binamu yake 

Kbsa na mimi utakuwa umenisaidia sanaItabidi ninene kwa lugha kuhusiana na hivi vinukta vyako
Hujambo kipenzi Changu
Nilijua vinukta vyake unavipendaga😆😆😆loh.hivi bado mioyo yenu haijaanza kunena kwa lugha eeKbsa na mimi utakuwa umenisaidia sana
Safi.
25/12/2020Hivi leo ni tarehe ngapi ?


Merry Christmas AnnieUnazingua Bwana
Acha uchoyo,weka picha.
Hahaaha kwangu bdo ila kwake kasha anza ndo maan akiweka nukta me namulewa moyo wake unaongea kupitia hvo vinukta ukitaka kuamin ilo jaribu kuesabu elf a neno i love u na uhesabau na hvyo vinukta vyakeNilijua vinukta vyake unavipendagaloh.hivi bado mioyo yenu haijaanza kunena kwa lugha ee





Karibu ule krismasi kwangu nimechinja simbilisi.25/12/2020
Lakini Nashangaa pamepooza
Kama hakuna wakristu humu![]()
Hahaha simbilisi umenikumbusha kwetu ubenaniKaribu ule krismasi kwangu nimechinja simbilisi.
Aisee thanks a lotKaribu ule krismasi kwangu nimechinja simbilisi.
Tuko bize tunajipikilisha25/12/2020
Lakini Nashangaa pamepooza
Kama hakuna wakristu humu![]()
Haha wanaliwa sana huko?Hahaha simbilisi umenikumbusha kwetu ubenani
Tarehe kumi na mbili mwezi wa ishirini na tanoHivi leo ni tarehe ngapi ?
Kwa kimalkia wanaitwa guinea pig.Aisee thanks a lot
Lakini Simbilisi ni nini ? ? Siwajui
Aisee mbona hakuna picha za pilau humu ndani ?Tarehe kumi na mbili mwezi wa ishirini na tano
Jizazi we mtu mbona umetisha..Hahaaha kwangu bdo ila kwake kasha anza ndo maan akiweka nukta me namulewa moyo wake unaongea kupitia hvo vinukta ukitaka kuamin ilo jaribu kuesabu elf a neno i love u na uhesabau na hvyo vinukta vyake![]()
Ngoja tushibe kwanza tutaweka kitakachobaki..au kama vipi nenda uzi wa misosi ukashibe kule...Aisee mbona hakuna picha za pilau humu ndani ?
Picha zenu mnaweka mbona za pilau hamuweki ?
Aisee mbona hakuna picha za pilau humu ndani ?
Picha zenu mnaweka mbona za pilau hamuweki ?