Merry Christmas mchumba

Kuna watu wanafaidi
Unakoelekea utaunguza nyumba waya zote hizo
Shikamoo mkuuHaya wee!
Na kwako pia baba paroko wanguWatumishi wa selfika nawatakia mapumziko mema na heri ya kusherekea sikukuu ya x mass kwenu wote

Na we ukiwepo baba wa mtoto mzuriKuna watu wanafaidi

Marahaba cheupe!Shikamoo mkuu
Nipo dada wanguMdogo wang upo jaman ,unanitamanisha hako ka kinywaj


siku ukija dar tutafutane tunywe pamoja
Jamani mzungu wa kigoma basi ngoja nileftMakusudi haya shunie
Wakubwa wanafaidi