Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,978
Sanaaa tu subiri na we ukue we mzeeWakubwa wanafaidi
Sanaaa tu subiri na we ukue we mzeeWakubwa wanafaidi
Mpaka nimepaliwa na bia kwa kicheko. 'Subiri na we ukue we mzee'Sanaaa tu subiri na we ukue we mzee
Mpaka nimepaliwa na bia kwa kicheko. 'Subiri na we ukue we mzee'



IpoMmmmmmmh!!!!!!
Kuna watu wataisave hii selfie kwa matumizi ya baadae
Choma & kaanga then....shushia. Au nasema uongo ndugu yangu?Ha ha ha!!! Leo halipikwa Pilau mbona.. Ni choma na kukaanga tu..![]()
Sema kweliKuna watu wataisave hii selfie kwa matumizi ya baadae
Ngoja wajeSema kweli
Yaani kama unatumia public transport hawakutendei haki kabisa....Na we ukiwepo baba wa mtoto mzuri![]()
Hebu fanya kunitumia tena hapa

Huu sasa Upambe Shem lake.. Merry Christmas.Choma & kaanga then....shushia. Au nasema uongo ndugu yangu?
He he niache ninunulie wewe sasaYaani kama unatumia public transport hawakutendei haki kabisa....
Nakununulia kwani kitu gani bwanaHe he niache ninunulie wewe sasa
Jmn me kaka ako ata simuelewi kbsaaaJizazi we mtu mbona umetisha..
Hivi mpk hapo shida iliyobaki ni ipi??mbona mnachelewesha mambo namna hiyo?tafunaneni basi..
![]()

Mtoto unaoneka mtamu sana hutakiwi utesekeMpare huyu ninayemjua mimi![]()
Mtoto unaoneka mtamu sana hutakiwi uteseke

Kuteseka nateseka mimi shida unapata wewe ebu uko