Chakorii
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 18,785
- 51,527
Kwani umeswaki!!??kama hujaswaki hujalala kipenzi changu 😅😅😅Mie nipo sijui na sikumbuki km nimelala Leo
Umekeshea kipande gani rafiki yangu na hujaniambia??
Kwani umeswaki!!??kama hujaswaki hujalala kipenzi changu 😅😅😅Mie nipo sijui na sikumbuki km nimelala Leo
Ooh ahsante ,kampani ya kula ,km vile ya Mimi kuja kudoea kdgYeah...ni siku nyingine tena iliyonjema na kupendeza ndugu Wakae pamoja kwa upendo na Amani..
Sijioni kwenye kuandaa mapocho poncho kipenzi ila nikipata kampani ya kula Jiko litanihusu kwakipenzi.
Karibu sana kipenzi
The scene 😅😅😅Behind
Alikwambia nani unakuja kudoea 😅😅😅unakuja kula ni mwaliko ujueOoh ahsante ,kampani ya kula ,km vile ya Mimi kuja kudoea kdg
Waoh ,ahsante sana ,Rafiki kwa mualiko,ngoja nianze kujiandaaAlikwambia nani unakuja kudoeaunakuja kula ni mwaliko ujue
🧚♀️🧚♀️🧚♀️.....🥂🥂🥂🥂nakusubiri.Waoh ,ahsante sana ,Rafiki kwa mualiko,ngoja nianze kujiandaa


Mamajusi kwa kiinglish waliitwaje ? Marry xmass mtoto amezaliwa nae akaitwa YESUMamajusi walipoiona nyota wakafurahi
Merry Christmas wapendwa.
Tukazaliwe upya katika mambo yetu yote.View attachment 1658649
Wise menMamajusi kwa kiinglish waliitwaje ? Marry xmass mtoto amezaliwa nae akaitwa YESU
Ulikuwa kwenye wedding party Dom, sio?Through back times.....View attachment 1658516
Clubbing ni nini?Mbona kama vidole vinataka kuanza kufanya clubbing?
Ni mzima kiafya mkuu?
Yaan we acha tyuuuh dea, unabaki kusema "ahsante Mungu".Ukivaa viatu vyao havikutoshi..unaishia kumshukuru Mungu tu.
AMINA.Mamajusi walipoiona nyota wakafurahi
Merry Christmas wapendwa.
Tukazaliwe upya katika mambo yetu yote.View attachment 1658649
YesUlikuwa kwenye wedding party Dom, sio?