donlucchese
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 17,258
- 22,130
Through back times.....
Siku hizi mnapiga modal sio bwangaEnzi hizo View attachment 1658562
Siku hizi mnapiga modal sio bwanga
Daaaa wee jamaa kweli gunia za mkaaa kweli kabisa umenivunja mbavu kweli mmetuchoka aisee daaa tunapewa stachi unaifahamu?Eti hvi ni kweli hua kuna coz maalumu mnafundishwa ya kunyosha nguo??Na mkihitimu mafunzo mnapewa Pasi na gunia za mkaa
Hiyo tarehe katikati ni hatari sanaHyo inabidi lifanyike kuanzia trh 14-20![]()





umeweka code hapo mwenyeweeeeeSijambo mambo, Mery ChristmasItabidi ninene kwa lugha kuhusiana na hivi vinukta vyako
Hujambo kipenzi Changu
Bata sioLong IslandView attachment 1658548
Poa...asante baba.merry Christmas na kwako pia rafiki yangu 😘😘😘Sijambo mambo, Mery Christmas
Umeamkaje kipenzi
Naona ushaamka Rafiki, kuandaa mapocho pochoPoa...asante baba.merry Christmas na kwako pia rafiki yangu![]()
Nimeamka salama kabisa kipenzi changu..sijui weweUmeamkaje kipenzi
Mie nipo sijui na sikumbuki km nimelala LeoNimeamka salama kabisa kipenzi changu..sijui wewe
Yeah...ni siku nyingine tena iliyonjema na kupendeza ndugu Wakae pamoja kwa upendo na Amani..🎁🎁🥂🧚♀️🎄Naona ushaamka Rafiki, kuandaa mapocho pocho