Acha tu Best.. ndiyo nilikuwa nawaza hapa.. Ile kamati kuu ikiyajua haya kuna mtu ataachwa kweli? Ubaya sasa kile kikosi kinaingiliaga ugomvi halafu ukiisha ndiyo wanauliza shida ilianzia wapi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Sasa wale wengine wajue haya bidada atachambwa mpaka ukucha wa mwisho
huhuhuuuu.umbuje[emoji18]...imi kwezindo....haja bakwata....misheni naahateiyya. mia nkuie nkhoogwe.Mlalo misheni [emoji847] wakuteia tewe
Tangu alivyoahidi ndiyo akatukimbia mazima MwenzetuHeaven Sent umeweka picha au bado uko kikaoni?
Aiseh pole mama.Unafikiri mie huwa najua kuchunguza mtu basi! Mie nilikuwaga namsoma tu juu juu na tulivyokuwa tunachitchat nikajikuta nimetokea kumuamini tu hadi tukafahamiana!
Na hiyo ndiyo sababu hadi leo siwezagi mgundua mtu mwenye id zaidi ya moja humu JF hata miandiko iwe inafanana vipi na huwa nashangaa watu wanachunguzaje hadi wanajua! Mie hata ndugu zangu huwa wananiambia mi ni mwepesi sana kuamini mtu baki na ndiyo maana hata nishatapeliwa sana baadhi ya vitu vyangu vya thamani!
Hahahh safiiiiihuhuhuuuu.umbuje[emoji18]...imi kwezindo....haja bakwata....misheni naahateiyya. mia nkuie nkhoogwe.
๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃAcha tu Best.. ndiyo nilikuwa nawaza hapa.. Ile kamati kuu ikiyajua haya kuna mtu ataachwa kweli? Ubaya sasa kile kikosi kinaingiliaga ugomvi halafu ukiisha ndiyo wanauliza shida ilianzia wapi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nipeni jina hilo basi
๐๐๐๐ushaanza visanga we msukuma.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ila Mimi case yangu sidhani kama inahusiana na hiyo [emoji1787]
Yule aliyeninunia atakuwa na matatizo yake binafsi.
Kile kikosi siyooo[emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Eti shida ilianzia wapi ..[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hakawii huyo akiamua ๐ ๐ ๐[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Haki we dada akili zako zinakutosha mwenyewe
๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃKile kikosi siyooo[emoji23]
kumbe na ww wa nymban mkuu[emoji16]Hahahh safiiiii
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Wanakamati
Mimi huyu sasa๐๐Hapan dea wee nambie tyuuuh. Wala stafany chchte me.
Hahahaha ,mpk nimeshtuka na kushangaaKaingia bila hodi[emoji38][emoji38][emoji38]
๐๐๐๐ Ile kamati haitaki ujinga wallah[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yaani kamati ya roho mbaya
Pole rafiki yangu kipenzi๐๐๐hujambo lkni babaHahahaha ,mpk nimeshtuka na kushangaa
Nikiite au???๐๐[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Daah kile kikosi nimekimiss wallah