Acha tu Best.. ndiyo nilikuwa nawaza hapa.. Ile kamati kuu ikiyajua haya kuna mtu ataachwa kweli? Ubaya sasa kile kikosi kinaingiliaga ugomvi halafu ukiisha ndiyo wanauliza shida ilianzia wapi
Unafikiri mie huwa najua kuchunguza mtu basi! Mie nilikuwaga namsoma tu juu juu na tulivyokuwa tunachitchat nikajikuta nimetokea kumuamini tu hadi tukafahamiana!
Na hiyo ndiyo sababu hadi leo siwezagi mgundua mtu mwenye id zaidi ya moja humu JF hata miandiko iwe inafanana vipi na huwa nashangaa watu wanachunguzaje hadi wanajua! Mie hata ndugu zangu huwa wananiambia mi ni mwepesi sana kuamini mtu baki na ndiyo maana hata nishatapeliwa sana baadhi ya vitu vyangu vya thamani!
Acha tu Best.. ndiyo nilikuwa nawaza hapa.. Ile kamati kuu ikiyajua haya kuna mtu ataachwa kweli? Ubaya sasa kile kikosi kinaingiliaga ugomvi halafu ukiisha ndiyo wanauliza shida ilianzia wapi