ERoni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 52,365
- 118,746
Inabidi aache aisee.. hao anaowaonesha wanampa nini kikubwa hivyo etii??




poleni!Inabidi aache aisee.. hao anaowaonesha wanampa nini kikubwa hivyo etii??




poleni!Hili ni chaka, muwe makini sana!
We acha tu my dear! Si unajua ule msemo wetu kuwa wa JF ndiyo hao hao tunaoishi nao mitaani kitu ambacho ni kweli!Pole ila mamiii mnapata wapi ujasiri wa kuwa na marafiki jf kiasi mnafikia kupeana namba za simu hasa wa kike
Tayari madame fasta sana 😅😅
Nna imani umeshatajiwa
Sawa Shem..Hili ni chaka, muwe makini sana!
)Umeona enhwanaume haohao baadae wanamgeuka hii ndio jf bwana
Hebu umuulize kwanza pengine labda kutakuwa kunakitu..ninatafakari sipati jibu haki tenaYaani hata sijui analipwa nini aisee! Mwanzo nilikuwaga tu nasikia kuna watu wanalipwa humu ili kupata picha na info za watu fulani nikawa nahisi utani sasa ndiyo nimeamini!
Hakuna yeye ndio anaonyeshaTayari madame fasta sana
Ila usikute labda kuna mtu alikuwa anatumia simu yake..najaribu kuwaza ila sijatoka jibu ujue
Tunakustiri kwa Sasa..ukiendeleza unabe wako hakuna rangi utaacha ona my friend




Na hakuna wanafki kama wanaume wa jf unaona wanakupenda kukukula wanakukula na siri wanatoaUmeona enh
Na wanaume wa JF ni wanafiki na wambea wanawake tunasubiri
Yaani mimi nimeshasema ikijirudia hii naweka thread nataja jina na picha yake juu
Asiombe kikosi cha maangamizi cha wanawake wa JF kikutane kumsuta yeye tu mbona atakimbia nchi kabisa siyo JF tu
mwisho ni h?really name yake inaishia kama na A ukiifanyia phonetic transcription![]()
Yeah, unaweka picha status then anaichukua kuwaonyesha "wanaume", upumbavu wa hali ya juu. Huwa nasema, kuwa makini unapotoa namba yako kwa mtu coz tabia zetu zinatofautiana sana na wanasema duniani Mungu na Teknolojia ndio vitu vya kuogopwa sana.Sawa Shem..
Yaani nadhani ni ile kuaminiana tu hapa.. unaona mtu hawezi kufanya utoto wa namna hiyo( nimeandika kwa hisia sana hapa.. sijui na mimi zangu anazo au lah)
Sasa mbaya zaidi unaambiwa anachukua picha huko kwa mitandao mingine ya kujamii kwa watu wenye picha zao humu..
Unaona saga lilivyo refu Shem??? Mambo kwa ground hayapo salama kabisa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Baadhi dota, repeat that...baadhi!Umeona enh
Na wanaume wa JF ni wanafiki na wambea wanawake tunasubiri



HaswaaaNa ndio wapo hivyo waone hivi yupoje anafananaje ili watunange
Asiombe kikosi cha maangamizi cha wanawake wa JF kikutane kumsuta yeye tu mbona atakimbia nchi kabisa siyo JF tu







Na si ndio wanavyofanyaga hivyoHaswaaa
Ili ukichangia zile mada za kuwaponda wakuanike
Kwambaaaaaaaaaa...Na picha yake Mhusika unayo?Yaani mimi nimeshasema ikijirudia hii naweka thread nataja jina na picha yake juu
Nikipewa ban nitapumzika jf nikichoka nitamuomba msamaha melo WhatsApp nitamlilia machozi yote