Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Hii ni mbaya sana..hivi ni Kwanini asilipuliwe humu ndani ili hii tabia ikome??pengine labda kuna watu huko picha zao zines ambazo a na hawajijui..

Labda yaweza kusaidia akaacha huu upumbavu wake
Mie nilitamani nimuanzishie uzi! Ila nikaambiwa nimuache ndiyo anaweza akazileta jukwaani kabisa kwa hasira!

Ila tu niliambiwa nimfuate privately nimuambie kwanini anafanya hivyo na aache hiyo tabia maana tangu haya mambo yatokee sikutaka kumuambia chochote! Nilifuta tu namba zake ili aache kuona status zangu na wala hatuwasiliani tena tumebaki tunachekeana kinafiki tu humu JF japo mie unafiki siwezagi!
 
Yeah dear! Humu tunafahamiana tu ila katika kufahamiana huko kuna watu na viatu cha msingi ni kuwa makini tu wengine ndiyo tushajiharibia!
Usjar San wee kuwa tyuuuh buzzy na mambo yako binafsi, hutoona shida wala tatizo lolote. Maish mafupi haya relaaaax.
 
Back
Top Bottom