Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

My dear si bora hata angekuwa anasambaza hizi tunazoweka humu tunajiziba! Anasambaza zile zetu tunazomtumia kule whatsapp na anazoziona kwenye status tukiwa hatujajiziba!
Hii ni mbaya sana..hivi ni Kwanini asilipuliwe humu ndani ili hii tabia ikome??pengine labda kuna watu huko picha zao zines ambazo a na hawajijui..

Labda yaweza kusaidia akaacha huu upumbavu wake
 
Back
Top Bottom