Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Ahsante sana mama Muinjili; umenifanya nikumbuke nilikwambia nitakuja tukanunue nywele amazing.

Hahhhah haki umenichekesha ujue, kwa hiyo kukuomba picha wenyewe wanaogopa au? Kwa kweli waje tu front wakuombe mwenyewe sio kupitia kwa watu.
Usijali mama mchungaji wangu nitakupeleka chimbo bei rahisi mno nywele ya laki 3 wengine wanauza laki 6 zipo kuanzia mpaka elf 50

Eenh anatafuta picha zangu anione shunie nafananaje jamani mtu mwenyewe na sura ya baba angu halafu mwanamke mwenzangu huyo apate picha yangu ili aisambaze vizuri

Njo pm niombe mwenyewe nakutumia jamani kwani picha nini hata kama nafanana na baba angu nakutumia tu
 
Usijali mama mchungaji wangu nitakupeleka chimbo bei rahisi mno nywele ya laki 3 wengine wanauza laki 6 zipo kuanzia mpaka elf 50

Eenh anatafuta picha zangu anione shunie nafananaje jamani mtu mwenyewe na sura ya baba angu halafu mwanamke mwenzangu huyo apate picha yangu ili aisambaze vizuri

Njo pm niombe mwenyewe nakutumia jamani kwani picha nini hata kama nafanana na baba angu nakutumia tu

Daah ahsante sana mama Muinjili.

Kwa kweli mbona sura za baba ndizo hizi hizi tunajishaua nazo kwa amani tu mtaani.
 
Usijali mama mchungaji wangu nitakupeleka chimbo bei rahisi mno nywele ya laki 3 wengine wanauza laki 6 zipo kuanzia mpaka elf 50

Eenh anatafuta picha zangu anione shunie nafananaje jamani mtu mwenyewe na sura ya baba angu halafu mwanamke mwenzangu huyo apate picha yangu ili aisambaze vizuri

Njo pm niombe mwenyewe nakutumia jamani kwani picha nini hata kama nafanana na baba angu nakutumia tu
Duuuh mam jomoneeh lol.
 
Zawadi yako ya birthday hiyo mama mchungaji

Habari ziwafikie wale wanaohangaika kutafuta picha yangu unataka picha yangu niombe mwenyewe sio kuhangaika kuomba omba picha yangu View attachment 1656723

Shunie pisi kali muumini wangu, aisehhhh siku hizi huji kanisani nakuchukia hata ukaribu na paroka huna tena utakua mdhambi wewe, uje kuungama, nataka ujie utumikie jimboni unafaa sana
 
Back
Top Bottom