Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Hii ni mbaya sana..hivi ni Kwanini asilipuliwe humu ndani ili hii tabia ikome??pengine labda kuna watu huko picha zao zines ambazo a na hawajijui..

Labda yaweza kusaidia akaacha huu upumbavu wake
Tena walimpue tyuuuh huyo muhusika. Ili akome na tabia hii mbaya kwan n ujinga na ulimbukeni khaaah.
 
Mie nilitamani nimuanzishie uzi! Ila nikaambiwa nimuache ndiyo anaweza akazileta jukwaani kabisa kwa hasira!

Ila tu niliambiwa nimfuate privately nimuambie kwanini anafanya hivyo na aache hiyo tabia maana tangu haya mambo yatokee sikutaka kumuambia chochote! Nilifuta tu namba zake ili aache kuona status zangu na wala hatuwasiliani tena tumebaki tunachekeana kinafiki tu humu JF japo mie unafiki siwezagi!
Duuuh pole sana dear.
 
Mie nilitamani nimuanzishie uzi! Ila nikaambiwa nimuache ndiyo anaweza akazileta jukwaani kabisa kwa hasira!

Ila tu niliambiwa nimfuate privately nimuambie kwanini anafanya hivyo na aache hiyo tabia maana tangu haya mambo yatokee sikutaka kumuambia chochote! Nilifuta tu namba zake ili aache kuona status zangu na wala hatuwasiliani tena tumebaki tunachekeana kinafiki tu humu JF japo mie unafiki siwezagi!
Huyo mtafutie engo yake kwanza..

Kama unaweza kumfuata mkazungumza itakuwa njia nzuri na ya kibusara lkni pia unaweza ukamwambia pia akalipuka moto.

Hebu mkaushie tu mblock kuruhusu maisha mengine yaendelee usiwe unaona chochote chake.

Haki haipendezi kabisa..
 
Huyo mtafutie engo yake kwanza..

Kama unaweza kumfuata mkazungumza itakuwa njia nzuri na ya kibusara lkni pia unaweza ukamwambia pia akalipuka moto.

Hebu mkaushie tu mblock kuruhusu maisha mengine yaendelee usiwe unaona chochote chake.

Haki haipendezi kabisa..
Yaani humu unaweza kosana na watu kwa sababu ya mtu mwingine.
Yaani mfano wewe chakorii unaniweka status watsap,mtu anaiba picha yangu kwenye status yako halafu anaisambaza.
Baadaye nakuja kuipata inasambaa na nikikumbuka hiyo picha nilikupa wewe chakorii
Naanza kukuona mbaya kumbe Wala mtoto wa watu huna kosa.
 
Yaani humu unaweza kosana na watu kwa sababu ya mtu mwingine.
Yaani mfano wewe kachorii unaniweka status watsap,mtu anaiba picha yangu kwenye status yako halafu anaisambaza.
Baadaye nakuja kuipata inasambaa na nikikumbuka hiyo picha nilikupa wewe chakorii
Naanza kukuona mbaya kumbe Wala mtoto wa watu huna kosa.
Yaan kumbe picha zinachukuliwa status huko tsup? Lol
Sas c unafuta tyuuuh no za muhusika, inakua haon chchte kwako.
 
Tena walimpue tyuuuh huyo muhusika. Ili akome na tabia hii mbaya kwan n ujinga na ulimbukeni khaaah.
Akipita ataona sababu anajijua kama anasoma kimyakimya au anafanyaje ujumbe ushamfikia popote alipo

Tena mimi ndio aniache kabisa anavyotafuta picha yangu aendelee hivyo hivyo

Akili yangu naijua nikishapiga heinekenn zangu nakuja kuweka thread na kumtaja juu
 
Yaani humu unaweza kosana na watu kwa sababu ya mtu mwingine.
Yaani mfano wewe kachorii unaniweka status watsap,mtu anaiba picha yangu kwenye status yako halafu anaisambaza.
Baadaye nakuja kuipata inasambaa na nikikumbuka hiyo picha nilikupa wewe chakorii
Naanza kukuona mbaya kumbe Wala mtoto wa watu huna kosa.
Kibao kya ndesi kumbe ndivyo inavyofanyika🙆‍♀️🙆‍♀️
 
Lastkingof1990
IMG_20201222_141412_379.jpeg
 
Akipita ataona sababu anajijua kama anasoma kimyakimya au anafanyaje ujumbe ushamfikia popote alipo

Tena mimi ndio aniache kabisa anavyotafuta picha yangu aendelee hivyo hivyo

Akili yangu naijua nikishapiga heinekenn zangu nakuja kuweka thread na kumtaja juu
Tena ufanye ivo tyuuuh, ili akome msieeew zake.
 
Back
Top Bottom