Iceberg9
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 26,663
- 50,967
Hizo hizo tunajenga wote baba paroko
Hatuna urembo wowote basi tu kuna mjinga mmoja akipata picha zetu wadada anasambaza si ujinga huo halafu mwanamke mwenzetu unasambaza unaoata faida gani au kuna mtu anakulipa
Sadaka za waumini kuziiba ni kujitoa mwanga






