T 1990 ELY
JF-Expert Member
- Sep 7, 2014
- 12,927
- 30,073
Ni kweli ndiyoNasikiaga wanyantuzu huwaibii ukabaki salama. @T 1990 Elly
Wewe jaribu kuniibia ujionee/uthibitishe mkuu

Ni kweli ndiyoNasikiaga wanyantuzu huwaibii ukabaki salama. @T 1990 Elly

Shikamoo wanyaki




mapema tu 😋We njoo nimewaacha mlango wazi basta
Hivi kwanini wewe Kababy leo ndiyo usitupe wenzako zawadi ya picha ni nini lakiniChakoriiiiiii, thank you babes. Uisindikize basi siku ya leo na picha moja ya umini
Daah kazi kweli kweliNa picha anazisambaza kwa wanaume unafikili anasambaza wapi ni kwa wanaume mimi nimekutana nazo kwa wanaume
Oohh OkayYeah nahisi hvyo..
Wooooooiiiii mimi mtu akiwa na mafile yangu yawe fake ama halisi unafikiri napata tabu basi😁😁Mno yaani
Unaweza shangaa chakorii watu Wana mafile yako wewe mwenyewe hujui
Tena bora yangekuwa ya kweli.
Nkitambo kwei, ambu imi si mnthu wa kuficha mbui zintatizazo huonga ukwei, nkukunda mndee😍Khaaaaayameanza lini haya
Yani wewe sikuibi..nakuloga unakuja mwenyewe nyumbani na ng’ombe juu😅😅Ni kweli ndiyo
Wewe jaribu kuniibia ujionee/uthibitishe mkuu![]()
My dear si bora hata angekuwa anasambaza hizi tunazoweka humu tunajiziba! Anasambaza zile zetu tunazomtumia kule whatsapp na anazoziona kwenye status tukiwa hatujajiziba!Zako hazijasambaa rafiki yangu?
Halafu mbona picha zenyewe tunaweka humu kila siku,kumbe kuna watu wanahangaika kuzisambaza tena?![]()
HahahhHivi ni kini che wafanye wandee wakishambaa watana kwei, ambu ni rangi yenyu ye mng'alo. Moyo wangu uita kasi kwei shunie...nkunda siku ing'we nkunkhe zawadi spesho.
Unaniloga nakuja nyumbani mwenyewe na ng'ombe juuYani wewe sikuibi..nakuloga unakuja mwenyewe nyumbani na ng’ombe juu![]()

Na Mimi huwa napenda kumwambia mtu hivyo,Kama kuna mahala hakuelewa walikokuwa kuambiana basi aje aniulize tu..asiogopeWooooooiiiii mimi mtu akiwa na mafile yangu yawe fake ama halisi unafikiri napata tabu basi
Sana sana nitamwomba aje kwangu achukue taarifa zingine ambazo hazijui
Unafikiri ninamuda basi..yani niwaze namna ya kutafuta fweza,,,nawaze pia na maneno ya watu eti fulani kasema ninithubutuuuuu

Woyoooooooooooh bas Dunia unaiona rahis tyuuuh, saf San dea.Wooooooiiiii mimi mtu akiwa na mafile yangu yawe fake ama halisi unafikiri napata tabu basi
Sana sana nitamwomba aje kwangu achukue taarifa zingine ambazo hazijui
Unafikiri ninamuda basi..yani niwaze namna ya kutafuta fweza,,,nawaze pia na maneno ya watu eti fulani kasema ninithubutuuuuu
Mpiga picha wangu kaenda machungani kuchunga..mpka arudi jioni..
Sasa unaonaje ukaweka sasa hivi kitu cha picha kwakuwa ni siku yako muhimu..
Mimi nikamalizia baadae...unaonaje
ni wazo tu
Heeeeh kumbe wengne humu mnawasilian had tsup lol.My dear si bora hata angekuwa anasambaza hizi tunazoweka humu tunajiziba! Anasambaza zile zetu tunazomtumia kule whatsapp na anazoziona kwenye status tukiwa hatujajiziba!
Unaanzaje kwa mfano, huo ni usaliti kwa Baba
Kukuta mtoto wa kike wa kinyakyusa kafanana na mama yake ni wachache mno





Hahahah mi mlowezi tu babu😂😂😂Hahahh
Wewe ni msambaa wa wapi boss ?
Osiiiie, kumbe iwe um'ndughu ?
Hivi kwanini wewe Kababy leo ndiyo usitupe wenzako zawadi ya picha ni nini lakini
JF watu wanajua sana kuchafua wenzao! Ukiwa na moyo mdogo unaweza jikuta unakimbia kabisa mtandao ila wengine tumeamua kukaza mioyo tu tutafanyaje sasa!Wooooooiiiii mimi mtu akiwa na mafile yangu yawe fake ama halisi unafikiri napata tabu basi
Sana sana nitamwomba aje kwangu achukue taarifa zingine ambazo hazijui
Unafikiri ninamuda basi..yani niwaze namna ya kutafuta fweza,,,nawaze pia na maneno ya watu eti fulani kasema ninithubutuuuuu