Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Nimefanana na baba angu ujue sura ya baba kabisa hivi si unajua rangi zinatustiri [emoji1787]
Umeona hii??[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Screenshot_20201215-221032.jpg
 
Sawa baba paroko nitumie sadaka basi [emoji847]

Weee umesahau sadaka ni zakujenga kanisa na kutulisha mapadri na paroko, ila shunie Aisehhh kuna watu nyie ni warembo ndiyo maana wengine wanababaika kuzipata picha zenu ili wafurahie uumbaji wa mwenyezi mungu [emoji81][emoji81][emoji81][emoji81], sadaka ni zakujenga kanisa tulia tulia
 
Zawadi yako ya birthday hiyo mama mchungaji [emoji847]

Habari ziwafikie wale wanaohangaika kutafuta picha yangu unataka picha yangu niombe mwenyewe sio kuhangaika kuomba omba picha yangu [emoji1787][emoji1787] View attachment 1656723
Upo vizuri bibie 😍 naona sura ya kirembo kabisa japo kilainishi ni SAE 40!
 
Weee umesahau sadaka ni zakujenga kanisa na kutulisha mapadri na paroko, ila shunie Aisehhh kuna watu nyie ni warembo ndiyo maana wengine wanababaika kuzipata picha zenu ili wafurahie uumbaji wa mwenyezi mungu [emoji81][emoji81][emoji81][emoji81], sadaka ni zakujenga kanisa tulia tulia
Hizo hizo tunajenga wote baba paroko [emoji847]
Hatuna urembo wowote basi tu kuna mjinga mmoja akipata picha zetu wadada anasambaza si ujinga huo halafu mwanamke mwenzetu unasambaza unaoata faida gani au kuna mtu anakulipa
 
Hizo hizo tunajenga wote baba paroko [emoji847]
Hatuna urembo wowote basi tu kuna mjinga mmoja akipata picha zetu wadada anasambaza si ujinga huo halafu mwanamke mwenzetu unasambaza unaoata faida gani au kuna mtu anakulipa
Hivi kumbe ni kweli nilijua unatania, mtu anakuomba picha halafu bila ruhusa yako anampatia mtu mwingine picha zako mbona ni ujinga sana, maana utampa mtu picha yako kwa kumuamini halafu unakuja kuaikia mtu mwingine anayo ni ujinga sana, na ni tabia ya kipuuzi, sema jaribu kuwapa picha watu you can trust, wamaofanya hivyo ni ulimbukeni sana, hata mimi sijapenda hilo,
 
Back
Top Bottom