Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Nimefanana na baba angu ujue sura ya baba kabisa hivi si unajua rangi zinatustiri
Umeona hii??
Screenshot_20201215-221032.jpg
 
Weee umesahau sadaka ni zakujenga kanisa na kutulisha mapadri na paroko, ila shunie Aisehhh kuna watu nyie ni warembo ndiyo maana wengine wanababaika kuzipata picha zenu ili wafurahie uumbaji wa mwenyezi mungu , sadaka ni zakujenga kanisa tulia tulia
Hizo hizo tunajenga wote baba paroko
Hatuna urembo wowote basi tu kuna mjinga mmoja akipata picha zetu wadada anasambaza si ujinga huo halafu mwanamke mwenzetu unasambaza unaoata faida gani au kuna mtu anakulipa
 
Hizo hizo tunajenga wote baba paroko
Hatuna urembo wowote basi tu kuna mjinga mmoja akipata picha zetu wadada anasambaza si ujinga huo halafu mwanamke mwenzetu unasambaza unaoata faida gani au kuna mtu anakulipa
Hivi kumbe ni kweli nilijua unatania, mtu anakuomba picha halafu bila ruhusa yako anampatia mtu mwingine picha zako mbona ni ujinga sana, maana utampa mtu picha yako kwa kumuamini halafu unakuja kuaikia mtu mwingine anayo ni ujinga sana, na ni tabia ya kipuuzi, sema jaribu kuwapa picha watu you can trust, wamaofanya hivyo ni ulimbukeni sana, hata mimi sijapenda hilo,
 
Back
Top Bottom