Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Nimeamka poa, nilikua nanyoosha viungo kdg, then nimepita huku ,kabla sijapotea kdg then nikarudi baadae
Wow vizuri..
Nafurahi kusikia umeamka Poa rafiki yangu kipenzi.

Haya niambie utapotea baada ya muda gani kuanzia sasa ili nijiandae kisaikolojia
 
Mimi sina nongwa mkuu, sema tu nimeshtuka kusikia mpare anatuletea sijui niite shemeji.

Sasa nakuonya usiwaonyeshe hawa huyo bwashe, utaibiwa...sema nini, hata wao wataogopa kukuibia wameelewa!!
Wallah me nimecheka nusu nife khaaaaah, iv nyie mnadhan me n kidampa ivo?
Afu hamuwez amin nguvu zangu zipo hapa kwa kibodi, ila in real life ts differ kabisaa,
Af me n introvert aaan.
Relaaaaaaaaaaaaax shemelaaaaah.
 
Wallah umenifanya had muhusika aulize nacheka nini,
namtazama afu nathaminisha na maneno yako mweeeeh.
Kuhusu viuno n simple tyuuuh, njoo nkufundishe kufinyia kwa ndan, kudividua, kuchulula (kuibana na kuiachia mboo I delay ikiwa ndani), kubenekua, ( yaan kuipush km itoke nje na kuivuta ndani).

Tobaaaaaaaaaaah lol,
 
Hivi kukata viuno nani aliwafundishaga hebu tuanzie hapo..maana viuno vyenu vinapepeaga kama karatasi.

Darling usinionyeshe nitamuiba ugonjwa wangu wanaume wembamba kiasi halafu warefu.

Si unajuaga sisi shotii tunakuwa na gubu eee eheee so nataka kuiminimaizi gubu

Manake ni wa jeuri hao...halafu akiwa introvert ndo balaa
Hiyo sifa ninayo mkuu

Mimi mrefu na mwembamba kiasi ila sina mguu wa mtoto/watoto

Sent from my SM-G955N using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom