Chakorii
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 18,785
- 51,527
Wow vizuri..Nimeamka poa, nilikua nanyoosha viungo kdg, then nimepita huku ,kabla sijapotea kdg then nikarudi baadae
Nafurahi kusikia umeamka Poa rafiki yangu kipenzi.
Haya niambie utapotea baada ya muda gani kuanzia sasa ili nijiandae kisaikolojia









