Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

[emoji120] mtumishi wa Bwana.

Ukikaribia kusafiri tena niambie niliweka kwenye maombi..sawa ee
Nashukuru sana kwa upendo wako. Inaonekana shemeji anafaidi sana ukarimu wako. Bila shaka nitakujuza ilinipate baraka.
 
Wallah me nimecheka nusu nife khaaaaah, iv nyie mnadhan me n kidampa ivo? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Afu hamuwez amin nguvu zangu zipo hapa kwa kibodi, ila in real life ts differ kabisaa,
Af me n introvert aaan.
Relaaaaaaaaaaaaax shemelaaaaah.

Tuendelee tu kuitana mkuu, au sio mzee!
 
Karibu wakati wowote...
Sina uhakika kama anafaidi mkuu maana sijawahi ambiwa [emoji22][emoji22].

Hakuna shida sote ni ndugu
Inawezekana ule msemo nabii hakubaliki kwao unakuhusu. For my observations uko peace, friendly, charming and caring. Unajua wanaume sometimes tunasemea moyoni. Utashangaa vi surprise vya hapa na pale tu.

Barikiwa sana.
 
Inawezekana ule msemo nabii hakubaliki kwao unakuhusu. For my observations uko peace, friendly, charming and caring. Unajua wanaume sometimes tunasemea moyoni. Utashangaa vi surprise vya hapa na pale tu.

Barikiwa sana.
Ohoooo nimejikuta moyo unamelt kwa furaha...kumbe watu mnasoma watu kimya kimya ee loh..

Thanks for the compliment ndugu yangu
😘😘😘😘

Siku yangu inaendelea kushine👏👏🧚‍♀️🧚‍♀️

Ila master kauzu sana huyu😆
 
Aiseee!!...umeandika kwa ujuzi sana mkuu.

Utakuwa ulishaga kutana na kitu kakamavu inapiga pande nne za dunia.

Hivi niniliu ina pande nne za dunia?

Nauliza tu Chakorii

Sent from my SM-G955N using JamiiForums mobile app
64167801-4C6D-410C-A339-EAC7BF669732.jpeg
012974E0-6AB9-4212-BE77-48ECE26D9934.jpeg

Nani kasema ni mzoefu
 
Ohoooo nimejikuta moyo unamelt kwa furaha...kumbe watu mnasoma watu kimya kimya ee loh..

Thanks for the compliment ndugu yangu
😘😘😘😘

Siku yangu inaendelea kushine👏👏🧚‍♀️🧚‍♀️

Ila master kauzu sana huyu😆
You deserve it. Siku nitaomba nikutoe out uchague kiwanja kizuri ili niikujue vyema.

Nasikiaga eti ni ustadhi yule wa salawili ya vipedo 😄😄😄😄. Hamna namna zaidi ya kuendelea kumuonyesha upend wa kweli.
 
Hahahahaha.......Aiseeeeee!!

Tumbo la uzazi linageuka nini?

Sent from my SM-G955N using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jomoneeeeeh wee me hyo style ni mwisho hakna cha kuidondokea wala popo kanyea anga,
Chezea doggie weyeeee, tumbo la uzazi linapanda kifuani ooooh.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom