Chakorii
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 18,785
- 51,527
Inasemekana lakini 😆😆😆ukikutana na ile kitu ni kakamavu inapiga pande 4 za dunia....🤪🤪🤪dada tuchatRough rider
Ndio wanasemaga zina upele upele? Eti unapata utamu mara mbili.
Inasemekana lakini 😆😆😆ukikutana na ile kitu ni kakamavu inapiga pande 4 za dunia....🤪🤪🤪dada tuchatRough rider
Ndio wanasemaga zina upele upele? Eti unapata utamu mara mbili.
Unapenda kuvaa miwani??aise..binafsi sipendi kabisa aiseh na hapa nilipo tangu nimetibiwa macho tiba nyingine iliyobaki ni miwani lkni sijion huko kabisa aiseh .hongeraIpo frame ya 15k Hadi 150k
Ukininunulia ya 50 inatosha kabisa
Jiandae kula chapati maharage kesho ☺☺Ukirudi nyumbani ukanipikie![]()
Siipendi ila sina namna.Unapenda kuvaa miwani??aise..binafsi sipendi kabisa aiseh na hapa nilipo tangu nimetibiwa macho tiba nyingine iliyobaki ni miwani lkni sijion huko kabisa aiseh .hongera
PoleNitashare Mkuu,
Lipo jambo nataka nizungumze na huu Ulimwengu usio na huruma hata kidogo kabla sijakata kauli.
Huu Ulimwengu unatisha sana Mkuu, wewe uone tu hivi lakn unatisha sana.
Unajiuliza maswali magumu, Inafika mahali mtu unataka hata kukufuru.
Kama unaishi hapa duniani na kinachokusumbua ni kujipatia tu riziki ya kila siku, ulale wapi na uvae nini tu! Nasema mshukuru Mungu sana.
Niachiwe na nani babe? Kwanza njoo tupange mipango ya sikukuu!
Maombi ya kuhusu nn? Wee nae bhana hebu 2ache sie tu slide na mapenzi yetu,Wewe na mpare mnahitaji maombi ya ziada![]()












wee mam nae mmmh, afu picha yako umeniuza had leo nasubir, km vle wanadam tunavomsubir masiha. Hujaenda dom cc?Green cityView attachment 1649815
Wee nae muongo lol, wapi umesutwa palee?![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Duh nimetoka nduki










..mpare tena!...yaani kabisa ni mpare? Nilitaka kuongea kilugha lakini basi mkuu.





ina maan humu ndan wa2 wote mna nongwa kuhus me kuwa mke wa m2?Pole sana mtakatifu wanguSiipendi ila sina namna.
Macho yangu yalishashindikana na sioni kabisa na yananiuma.
Hapa Nilikuwa nimesusa miezi kadhaa sijaivaa ila shida ninayoipata acha kabisa.
Usnitue mazima puliiiiiiiiiz,Sawa beibi nakutuwa



much deaa chibongeee lol




Ni nini unapitia Doon !!mbona mwandiko wako wako unaonyesha unauchungu Sana?tafadhali ikikupendeza share nasNitashare Mkuu,
Lipo jambo nataka nizungumze na huu Ulimwengu usio na huruma hata kidogo kabla sijakata kauli.
Huu Ulimwengu unatisha sana Mkuu, wewe uone tu hivi lakn unatisha sana.
Unajiuliza maswali magumu, Inafika mahali mtu unataka hata kukufuru.
Kama unaishi hapa duniani na kinachokusumbua ni kujipatia tu riziki ya kila siku, ulale wapi na uvae nini tu! Nasema mshukuru Mungu sana.
Wacha bhanaMaombi ya kuhusu nn? Wee nae bhana hebu 2ache sie tu slide na mapenzi yetu,
Unaona wivu tyuuuh weee,
Yaan kwa huyu mpare hata kiumbe cha ajabu kikitua kukatisha penzi, wala ha2shtuki uwiiiiiiih, kumbe mapenzi ndo matamu ivi lol.
Wacha tyuuuuuh dea, mapenzi matamu hiviii?wacha bhana
![]()