Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Pedestrian As Usual
20201214_162920.jpg
 
Hiyo sifa ninayo mkuu

Mimi mrefu na mwembamba kiasi ila sina mguu wa mtoto/watoto

Sent from my SM-G955N using JamiiForums mobile app
Mikato yangu ni kuiona huwa naijua mapema sana.

Sipendagi mwanaume anaechat sana(muongeaji)sasa wewe sikuonei huko

Kwaufupi navurugwa na introvert.

ushanipoteza.

Sema Hallelujah
 
You deserve it. Siku nitaomba nikutoe out uchague kiwanja kizuri ili niikujue vyema.

Nasikiaga eti ni ustadhi yule wa salawili ya vipedo 😄😄😄😄. Hamna namna zaidi ya kuendelea kumuonyesha upend wa kweli.
Kutolewa out kumekubaliwa tukijaaliwa uzima na afya Chief.

Sio muamsho😅😅😅ile ilikuwa changamsha genge tu🤪🤪

Tatizo langu sijifichagi nikimpenda mtu ni lazima ajue.lakini akinizingua huwa nabadilika mazima no turning back.
Sasa sijui hii ndo sifa kuu ya GEMINI (itabidi nifuatilie)ama ni nini maana huwa najishangaaga kwakweli 😁

So mwamba nitaendelea kummwagia malovee😁😁😁akizingua naenda kuota sehemu nyingine waaaaaahhhiiiii😆😆
 
Back
Top Bottom