Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

ina maan humu ndan wa2 wote mna nongwa kuhus me kuwa mke wa m2?
Jomoneeeh huyo mpare kwangu amefika, amezama, amekufa, ameoza, uwiiiiiiii chezea mie toto la kingoni,
Afu ukute n mwanao sasa, nshakua ndugu na nyiee huko Chuga.
Hallow mbna pambeeeeh
Hebu nifundishe kilugha kwan, ili niwe namnenea kwa lugha, kunako 6 ×6.
Waleleeeeeeeeeeeeeeeeeeeeh
Hapa sasa umechamba mdogo wangu

Hebu rudisha mwandiko wako masaki bana
 
Wacha tyuuuuuh dea, mapenzi matamu hiviii?
halali watu wajiue, mwenzio saiv nalala na khanga moko,
Uwiiiiiih usku mzima n segere na sebene,
Hallow huyu mpare kajua kunimalizaaaaaaaaaaah.
Love dea uje umuone shemejio.
Hivi kukata viuno nani aliwafundishaga hebu tuanzie hapo..maana viuno vyenu vinapepeaga kama karatasi.

Darling usinionyeshe nitamuiba ugonjwa wangu wanaume wembamba kiasi halafu warefu.

Si unajuaga sisi shotii tunakuwa na gubu eee eheee so nataka kuiminimaizi gubu

Manake ni wa jeuri hao...halafu akiwa introvert ndo balaa 😍😍
 
Woyoooooooooooooh haswaaaaah zinaleta joto na mushkheri kunako majambozi, hasa umpate fundi wa kusukuma nyama lol.
Sjui nimepatwa na nn, naropoka hovyooo tyuuuh.
1D192EAD-D58B-4238-B611-018B676F274D.jpeg
 
Back
Top Bottom