Jadda
JF-Expert Member
- May 20, 2019
- 31,541
- 88,493
Naona kuna machaguo mawili hapo ya kuangalia, hotpot na HOTPOT!






Dad kumbe na wewe unakuwaga na akili hizi eh
Naona kuna machaguo mawili hapo ya kuangalia, hotpot na HOTPOT!






We unayofanya Mungu anapenda?
Tulia tu nitamalizana na Mungu, ila hiyo adhabu inakuhusu.
Sent using Jamii Forums mobile app






Nini toto
sijaitwa dear siku mobu
leo nitalala vizuri.
Nini kilikufanya usiwepo huko jirani.
Kesho Tukijaaliwa uzima nitakuwa huko
Mhmhh umeogea magadi nini, umenichekeshaa mno sasa mguu huo wa bia hutoi fursa watia nia ni wengi ungeitwa hivyo kila siku kila saa 



Hahahhaa yani nioe niache kuanzisha uzi wamichangoo?? Au hamjui harusi ni project kama project zinginee
Nafasi kwa binamu linahbaby na kupa sasa ili uanze kuchangishaKwahiyo jirani nimeongea utopolo😆😆😆![]()
![]()
![]()
![]()
Mhmhh umeogea magadi nini, umenichekeshaa mno sasa mguu huo wa bia hutoi fursa watia nia ni wengi ungeitwa hivyo kila siku kila saa
![]()
BukukuGreatest Of All TimesView attachment 1638739

Nina historia na bomba la hivi utotoni
Liliwafanya nini?itakua nimekuelewa
Hata mimi mkuu Nina historia nalo sisahau
HakunaBush hamna washua?



Siwezi nikataja hapaKunaitwaje?
Ndizi ndio babkubwa mzeeUgali vs ndizi kwa kitimoto ugali ni noma zaidi
Dad kumbe na wewe unakuwaga na akili hizi eh



dota ungepatikana vipi kama akili zangu zingefikiria shule tu!PM iko wazi.. Yo welcome Saint AnneSiwezi nikataja hapa
Ukitaka kwenda utaniambia nikutajie PM
Kwani unataka kwenda Sasa hivi huko malawi?PM iko wazi.. Yo welcome Saint Anne
Si wengine riziki miguuni, naweza kuamka kesho kutwa na ratiba ya kwenda huko..Kwani unataka kwenda Sasa hivi huko malawi?
Oh sawaSi wengine riziki miguuni, naweza kuamka kesho kutwa na ratiba ya kwenda huko..
Bush pia kuna watoto wa makatibu tarafa, ma bwana mifugo, waganga, walimu wakuu, madiwani nk.. Watoto wengi wanatokea familia kama hizi wengi ni wa kishua..Hakuna
Nimezaliwa kijijini na kwa kiasi nimekulia kijijini.
What happened?itakua nimekuelewa
Hata mimi mkuu Nina historia nalo sisahau