ERoni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 52,570
- 119,639






hakyanani!





hakyanani!Shem usiniunganishe na hawa wengine, niko tofauti ujuwe!!
Hivi mara moja kwa mwaka kweliSi mpaka akuhurumie, maana sio kwa mambo meusi hayo unayonifanyia.
Sent using Jamii Forums mobile app


bado natafakari!Hahaha! Mjumbe we mtu mbaya sana!
Kwambaaaa nini Shem???Shem usiniunganishe na hawa wengine, niko tofauti ujuwe!!



Watoto wa mjini wanakwambia wajumbe siyo watuHahaha! Mjumbe we mtu mbaya sana!




utajua hujui..Oooh yeah, anza kujiandaa kisaikolojia.Hivi mara moja kwa mwaka kwelibado natafakari!
Kwambaaaa nini Shem???
Wewe huwezi kumsingizia Mcheps ni Dada mtoto wa Baba yako Mkubwa
Sent using Jamii Forums mobile app




Siwezi hata, teh teh!Kwambaaaa nini Shem???
Wewe huwezi kumsingizia Mcheps ni Dada mtoto wa Baba yako Mkubwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Utaniambia wewe utaishije! Manake najua umenipa mtihani wewe huuwezi









Nitajua tu nitakavyoishi.Utaniambia wewe utaishije! Manake najua umenipa mtihani wewe huuwezi![]()