😆😆😆Lizzy unachuana na T 1990 ELY kwa misosi aise😅😅tofauti iliyopo ni kweli posheni tu
Lizzy
Ely ye vitu vyake ni heavyyyy![]()
Hahaha........unajikuta muhenga eti eeeeeehkwahiyo unahisi niko kwenye hiyo age ya 20s..kijana!huo umri wa hizo drama ulishapita kitambo


mhenga Elly lakini sipo kwenye 20’sHahaha........unajikuta muhenga eti eeeeeeh
Haya bhana
Kuanzia leo we ni shemeji yangu. Karibu sana Usukumani...mpenzi wako tena!!tangu lini huu upenzi umeanza?
Ushemu kwa Nani Shimbaaa?Kuanzia leo we ni shemeji yangu. Karibu sana Usukumani...
View attachment 1623164
MmmmmmmmmmhHapo umenena mama..na inaonekana mwili wake unamiguvuloh..maana sio kwa misosi ile




Maisha ni lazima yaende mzee baba , ka house ni kadogo lakini ni jasho lako, usijichukulie poa, sema ahsante Mungu kwa hichi kidogo, Mungu atakupa kubwa zaidi
Amen to that brotherMaisha ni lazima yaende mzee baba , ka house ni kadogo lakini ni jasho lako, usijichukulie poa, sema ahsante Mungu kwa hichi kidogo, Mungu atakupa kubwa zaidi
Kwema madameKwemaaa???!!!