Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Karma mie ni medium mpenzi. Sema nikijiachia kula wiki tu nakuwa kanono kanono hivi...nadhani ndo maana huonaga utofauti sometimes
Sema unaonekana una mwili mzuri. Kama zile picha zako za juzi beach ulizovaa kigauni ulionekana una kamwili kadogo.

NB: Kwangu mimi mwili mdogo ndiyo mzuri. Hata mimi huwa sijikubali sababu najiona mnene sana na natamani kuwa mwembamba.
 
Last month mdogo wangu wa kike alikua anaolewa so akaenda saloon ile amerudi kumbe kasahau pochi yake, na mazaga mengine.. Hivyo akaniomba niende kumchukulia

Kufika ndani nikakuta jamaa anamuosha mwanamke 1 hivi (ambae kwa mtazamo wa haraka ni kama mke wa mtu) wakati natafutiwa vile vitu me nikawa naona jamaa anavyomuosha.
Yule mwanamke kakunja sketi mpaka mapajani halafu jamaa anaosha kuanzia miguuni kwenye unyayo mpaka around juu ya magoti (mwanzo mapajani) halafu sio anaosha tu, anakua anaifanyia kama masaji, it's a shame kiukweli hata kama ni urembo it was too much, kwa mazingira kama yale jamaa akibananisha tu kidogo mwanamke hachomoki salama.
Wale jamaa hawana nguvu za kiume
 
Douta, mfano mimi sio chichiem lakini I appreciate Magu, utanielezea vipi?
Ukishaonyesha appreciation wanakugroup kwenye CCM
Jamani daddy kwani hamjui kuwa CCM ni Magu na Magu ni CCM? Na hii ndiyo sababu kwanini ni ngumu kumuamini mtu anayesema eti yeye siyo CCM ila anampenda Magu au mtu aseme yeye ni CCM ila hampendi Magu technically hilo haliwezekani!

Japo ninyi wenyewe mnaosema hivyo mnaweza msilijue hilo lakini huo ndiyo ukweli! Tunaposema haya tunaonekana tunaropoka tu lakini time will tell!
 
Yeah, hapo ni shida. Japo nahisi viongozi wamekosea sana kutengeneza matabaka ya wananchi.
Cha ajabu wananchi ndo wanauchungu sana kuliko hata hao viongozi..
Niliwahi kupoteza rafiki ambaye tumeishi vizuri kwa miaka mingi,akanichukia na kuniporomoshea matusi kisa tu sikuwa upande wake.
Kuna sehemu nilikuta wanapigana kisa mabishano ya siasa..ujinga mtupu..kesho na keshokutwa viongozi wanakaa pamoja wanapiga story maisha yanaenda.
Lakini mnajua nini! At the end of the day kila mtu ana haki na uhuru wa kusupport chama chochote anachokitaka na kiongozi yeyote anayemtaka haya mambo wala siyo ya kulazimishana wala kuleta uadui kati yetu bali huwa tunaeleweshana tu ili tujue ni wapi nchi yetu inakoelekea!
 
Usilete masifa Sasa ukalima Kijiji kizima mbolea siunajua mfuko mmoja elfu 60

Hekari 2 tu zinatosha
Nimeshaconfirm ni 2.

Kazi kwako,jmosi nitakusubiri Kama nangoja ufalme wa mbinguni.
Tena nitakuwa nakukumbusha Mara 2 2
Uzuri najua namna ya kukupata,sikukucheki tu siku zile nilipata matatizo.
 
Back
Top Bottom