Jadda
JF-Expert Member
- May 20, 2019
- 31,540
- 88,485
We nawe! Atakuwaje mnene wakati hali? Mtu anakula matonge mawili na mchicha atanenepaje?![]()







We nawe! Atakuwaje mnene wakati hali? Mtu anakula matonge mawili na mchicha atanenepaje?![]()







Basi gani hili mkuu
Ukalime sio kukaakaa town ,town wanakaa wenye helaUmeona eeh??!?!
Sina kwa kutoa hela
Nitashukuru sana,bora nikapambane shamba kuliko kukaa tu nyumbani bila kazi.
Kwanza palishanichosha hadi namiss shule tena.
Karma mie ni medium mpenzi. Sema nikijiachia kula wiki tu nakuwa kanono kanono hivi...nadhani ndo maana huonaga utofauti sometimes
![]()

Sema unaonekana una mwili mzuri. Kama zile picha zako za juzi beach ulizovaa kigauni ulionekana una kamwili kadogo.Ukalime sio kukaakaa town ,town wanakaa wenye hela




Kweli dunia haiko fair.Sema unaonekana una mwili mzuri. Kama zile picha zako za juzi beach ulizovaa kigauni ulionekana una kamwili kadogo.
NB: Kwangu mimi mwili mdogo ndiyo mzuri. Hata mimi huwa sijikubali sababu najiona mnene sana na natamani kuwa mwembamba.
Nakumotivate sikupondi,,usikonde we get sure utaanza na eka ngapi then consult
Unaniponda au sio!
Sawa ,ukinipa tu mi naenda..naanza kulima mdogo mdogo mvua ikichanganya ni kupanda tu.
SawaNakumotivate sikupondi,,usikonde we get sure utaanza na eka ngapi then consult
Wale jamaa hawana nguvu za kiumeLast month mdogo wangu wa kike alikua anaolewa so akaenda saloon ile amerudi kumbe kasahau pochi yake, na mazaga mengine.. Hivyo akaniomba niende kumchukulia
Kufika ndani nikakuta jamaa anamuosha mwanamke 1 hivi (ambae kwa mtazamo wa haraka ni kama mke wa mtu) wakati natafutiwa vile vitu me nikawa naona jamaa anavyomuosha.
Yule mwanamke kakunja sketi mpaka mapajani halafu jamaa anaosha kuanzia miguuni kwenye unyayo mpaka around juu ya magoti (mwanzo mapajani) halafu sio anaosha tu, anakua anaifanyia kama masaji, it's a shame kiukweli hata kama ni urembo it was too much, kwa mazingira kama yale jamaa akibananisha tu kidogo mwanamke hachomoki salama.
Usilete masifa Sasa ukalima Kijiji kizima mbolea siunajua mfuko mmoja elfu 60Sawa
Sasa umeshanimovivate na nimemotivetika.
Bado kunimotivate kwa vitendo sasa.
Ngoja niulize idadi ya mashamba yanayobaki bila kulimwa.
Naogopa kutaja hekari nyingi maana zitanitesa kwenye palizi.


Douta, mfano mimi sio chichiem lakini I appreciate Magu, utanielezea vipi?
Jamani daddy kwani hamjui kuwa CCM ni Magu na Magu ni CCM? Na hii ndiyo sababu kwanini ni ngumu kumuamini mtu anayesema eti yeye siyo CCM ila anampenda Magu au mtu aseme yeye ni CCM ila hampendi Magu technically hilo haliwezekani!Ukishaonyesha appreciation wanakugroup kwenye CCM
Umeshidaje babaa?Yes babe![]()
NB: Kwangu mimi mwili mdogo ndiyo mzuri. Hata mimi huwa sijikubali sababu najiona mnene sana na natamani kuwa mwembamba.






Yeah, hapo ni shida. Japo nahisi viongozi wamekosea sana kutengeneza matabaka ya wananchi.
Lakini mnajua nini! At the end of the day kila mtu ana haki na uhuru wa kusupport chama chochote anachokitaka na kiongozi yeyote anayemtaka haya mambo wala siyo ya kulazimishana wala kuleta uadui kati yetu bali huwa tunaeleweshana tu ili tujue ni wapi nchi yetu inakoelekea!Cha ajabu wananchi ndo wanauchungu sana kuliko hata hao viongozi..
Niliwahi kupoteza rafiki ambaye tumeishi vizuri kwa miaka mingi,akanichukia na kuniporomoshea matusi kisa tu sikuwa upande wake.
Kuna sehemu nilikuta wanapigana kisa mabishano ya siasa..ujinga mtupu..kesho na keshokutwa viongozi wanakaa pamoja wanapiga story maisha yanaenda.
Watu na Watu wao...Yes babe![]()
Usilete masifa Sasa ukalima Kijiji kizima mbolea siunajua mfuko mmoja elfu 60![]()








.Ok poa mbegu tafuta aina ya decalb au nazo huna
Hekari 2 tu zinatosha
Nimeshaconfirm ni 2.
Kazi kwako,jmosi nitakusubiri Kama nangoja ufalme wa mbinguni.
Tena nitakuwa nakukumbusha Mara 2 2
Uzuri najua namna ya kukupata,sikukucheki tu siku zile nilipata matatizo.


