Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

20201104_174305.jpg
 
Last month mdogo wangu wa kike alikua anaolewa so akaenda saloon ile amerudi kumbe kasahau pochi yake, na mazaga mengine.. Hivyo akaniomba niende kumchukulia

Kufika ndani nikakuta jamaa anamuosha mwanamke 1 hivi (ambae kwa mtazamo wa haraka ni kama mke wa mtu) wakati natafutiwa vile vitu me nikawa naona jamaa anavyomuosha.
Yule mwanamke kakunja sketi mpaka mapajani halafu jamaa anaosha kuanzia miguuni kwenye unyayo mpaka around juu ya magoti (mwanzo mapajani) halafu sio anaosha tu, anakua anaifanyia kama masaji, it's a shame kiukweli hata kama ni urembo it was too much, kwa mazingira kama yale jamaa akibananisha tu kidogo mwanamke hachomoki salama.
Hebu acheni mambo ya ajabu jamani, mbona mambo madogo tu hayo.
 
Nimeishi kijijini, kwahiyo shambani nakujua vizuri japo nina kauvivu.

Hapo kazi kubwa ninayoiona ni kupanda na palizi..
Kulima nitatumia ng'ombe.

Naisubiri hiyo mbolea,ila ni bure,sina hela ya kukulipa
Wew fresh from school hela utoe wapi? Nikija na gari nitabeba huku nikipanda Basi Kuna sehemu uyole utachukua
 
Back
Top Bottom