Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Najua ya kwamba Waweza kufanya mambo yote
Na makusudi yako hayawezi kuzuiliwa.

Mungu unayeishi,Alpha na Omega
Weee ni mkuu Sana

Moyo wangu unavuja damu ila kwako lipo tumainiView attachment 1619377
Poleeeee sana mdogo wangu tumeumbwa kwa mavumbi tutarudi vumbini ni muda tu hutofautiana nani anatangulia, pole moyo wako umkumbuke bwana kwa matendo mema na mazuri hapa duniani, ili ukiondoka duniani ukaione paradise
 
20201104_122612.jpg
 
Shimba unavyonijali jamani

Nimekula vinyango viwili na mchicha tu ila jioni ntajitahidi....
I take back my compliments . Mi nafikiri umejitahidi angalau umevifukia vibonge vyote viwili kumbe umeishia matonge mawili tu. Kha!

Bila shaka utakuwa na mwili kama wa Flaviana Matata wewe si kwa nyodo hizi wallahi....
 
Huoni mvua ni za kuchelewa sana, huoni jua limekua kaliiii sana huoni kuna viumbe hatuvioni siku hizi yote hiyo kwa kuwa mwanadamu amekua ni mharibifu namba moja wa mazingira
Miaka yote iliyopita kupo hivyohivyo
Hakujawahi kubadilika na wanapikia kuni..sijui labda kama miaka ya mbeleni kutabadilika.
Jua ni la kawaida sana na lipo hivyo miaka yote na mvua ikianza kunyesha huwa haipumziki.
 
I take back my compliments . Mi nafikiri umejitahidi angalau umevifukia vibonge vyote viwili kumbe umeishia matonge mawili tu. Kha!

Bila shaka utakuwa na mwili kama wa Flaviana Matata wewe si kwa nyodo hizi wallahi....
🤣🤣🤣🤣🤣 Shimba nshakwambia...huu mwili hata hauna adabu. Kujinyima kote kwangu bado wanaingia Flaviana wawili 🙈🙈

This weekend ntajiachia kidogo (cheat day) ili ufurahi na wewe 🙂🙂
 
Back
Top Bottom