Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Unajua hadi leo sijapata kuelewa kama wewe ni mnene au mwembamba! Kuna baadhi ya picha zako unaonekana mnene kuna nyingine unaonekana mwembamba!

Unadhani hata yananihusu basi
I am just concerned
🤣🤣🤣🤣🤣 Karma mie ni medium mpenzi. Sema nikijiachia kula wiki tu nakuwa kanono kanono hivi...nadhani ndo maana huonaga utofauti sometimes 😁😉
 
Kwahiyo mkuu tusioe tu mkuu maanaa ni karaha, ila ngoja nioe tu nitajua nitambana wapi au vipi
Wazungu wana msemo wao wanasema

"Get marriage, if you get a good wife you will be happy, if you get a bad wife you will become a philosopher"

Kuoa ni muhimu mkuu, no matter what. Yale maneno just tu nimeandika.
 
Mmhh mi niseme ukweli sijawahi kupishana na comment yako yoyote ukiwa unasupport chama chochote cha upinzani siyo za kipindi hiki wala huko nyuma! Huwa unawaponda sana upinzani na kuwasifia CCM na huwa unalike comments za wanaoitetea CCM!

Anyway siyo mbaya ukisema kama wewe ni mwanachama wa CCM! Una haki na uhuru wa kuwa kwenye chama chochote mwaya ila ifike kipindi lazima tuseme ukweli CCM walikofikia siko na wanakoelekea ndiyo kubaya kabisa lakini cha ajabu watu wanatetea tu kila kitu!
Douta, mfano mimi sio chichiem lakini I appreciate Magu, utanielezea vipi?
 
Yeah, hapo ni shida. Japo nahisi viongozi wamekosea sana kutengeneza matabaka ya wananchi.
Cha ajabu wananchi ndo wanauchungu sana kuliko hata hao viongozi..
Niliwahi kupoteza rafiki ambaye tumeishi vizuri kwa miaka mingi,akanichukia na kuniporomoshea matusi kisa tu sikuwa upande wake.
Kuna sehemu nilikuta wanapigana kisa mabishano ya siasa..ujinga mtupu..kesho na keshokutwa viongozi wanakaa pamoja wanapiga story maisha yanaenda.
 
Cha ajabu wananchi ndo wanauchungu sana kuliko hata hao viongozi..
Niliwahi kupoteza rafiki ambaye tumeishi vizuri kwa miaka mingi,akanichukia na kuniporomoshea matusi kisa tu sikuwa upande wake.
Kuna sehemu nilikuta wanapigana kisa mabishano ya siasa..ujinga mtupu..kesho na keshokutwa viongozi wanakaa pamoja wanapiga story maisha yanaenda.
Kabisa, siasa sio ya kuibeba too personal kwa sababu hata hao viongozi wetu hawapo hivyo tunavyodhani. Ila sasa mtaani hayo unayosema ndio yapo, chuki za wazi!
 
20201103_232641.jpg


20201103_232713.jpg


chakula cha Halima kitamuuu alafu bei chee tu kinatusevu sana 😁
 
Back
Top Bottom