Iceberg9
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 26,662
- 50,948
Karibu tenaOohh Vizuri
Karibu tenaOohh Vizuri
Leo angalau kuna kaunafuu kiugali angalau kinaonekana onekana



Matunda na menyewe si mlikuwa mnanikoromea jamani? Mnataka nini sasa? BagoshaUmehamia kwenye wadudu sasa![]()



Huwa natoa mtazamo wanguOohh basi ni vyema kama unatoa mawazo bila kuangalia chama! Maana kuna watu wanatetea tu kila kitu ili mradi kimefanywa na ccm duuh!
Hata sasa wakianguka huwa akili yako haikai sawa.
Hilo jiwe lingemkosa huyo nduli kipigo ambacho angekipata huyo dogo asingekaa akisahau maishani mwake![]()



angechakaaLast month mdogo wangu wa kike alikua anaolewa so akaenda saloon ile amerudi kumbe kasahau pochi yake, na mazaga mengine.. Hivyo akaniomba niende kumchukuliaHiyo yote ni sehemu ya kufanya mahusiano yachipue sex, vitu hivyo vidogovidogo sijui masaji na vingine vingiiii , hivyo vyote tunafanya lakini mnakuja kuanguka kwenye mahaba makali na vijana wanaowaosha miguu, kucha nk
Hakuna secrets yo yote hapa. Ni blah blah tu za Chopra - playing God !!!
Kuzuri balaa huko hata siku za kuishi zinaongezeka
Asante MkuuKaribu tena
Oohh basi sawa uendelee na moyo huo huo! Usiwe kama kina mwafulani wafia chama kule jukwaa la siasa haki kule kuna watu huwaga natamani hata niwachape viboko yaani!Huwa natoa mtazamo wangu
Sometimes nakuwa against na CCM hadi kuna siku nimechambana na Bia yetu..naishia kuitwa kamanda uchwara.
Kuna siku nimeitukana serikali hadi kuna mtu akanifwata kunitahadharisha,aliona nanusa uanaharakati na jinsi ninavyojuana na watu humu kukamatwa dk 0 nyingi.
Sometimes nakuwa against na upinzani halafu naishia kuitwa CCM kama hivi leo,au nabatizwa ubuku 7
Mimi wafia chama wote siwapendiOohh basi sawa uendelee na moyo huo huo! Usiwe kama kina mwafulani wafia chama kule jukwaa la siasa haki kule kuna watu huwaga natamani hata niwachape viboko yaani!
Ni kuzuri sana .Kuzuri balaa huko hata siku za kuishi zinaongezeka
Unaona sasa mkuu, hivi vitu vipo yani mkuu mwanamke ni rahisi sana kuanguka dhambini, na wanaume sisi huwa tunajua madhaifu yao na vijana hao wakipapasa tu wanakula especially kukiwa na mazingira yanayoruhusu ndiyo basi tena, na wanaofanyiwa hivyo wengi ni wake za watu, vijana wanakula bila kuachaLast month mdogo wangu wa kike alikua anaolewa so akaenda saloon ile amerudi kumbe kasahau pochi yake, na mazaga mengine.. Hivyo akaniomba niende kumchukulia
Kufika ndani nikakuta jamaa anamuosha mwanamke 1 hivi (ambae kwa mtazamo wa haraka ni kama mke wa mtu) wakati natafutiwa vile vitu me nikawa naona jamaa anavyomuosha.
Yule mwanamke kakunja sketi mpaka mapajani halafu jamaa anaosha kuanzia miguuni kwenye unyayo mpaka around juu ya magoti (mwanzo mapajani) halafu sio anaosha tu, anakua anaifanyia kama masaji, it's a shame kiukweli hata kama ni urembo it was too much, kwa mazingira kama yale jamaa akibananisha tu kidogo mwanamke hachomoki salama.
Size ya ugali = ngumi ya dogo 🙂🙂Leo angalau kuna kaunafuu kiugali angalau kinaonekana onekana![]()