Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,246
Mimi siyo CCM ila magufuli nampenda.Jamani daddy kwani hamjui kuwa CCM ni Magu na Magu ni CCM? Na hii ndiyo sababu kwanini ni ngumu kumuamini mtu anayesema eti yeye siyo CCM ila anampenda Magu au mtu aseme yeye ni CCM ila hampendi Magu technically hilo haliwezekani!
Japo ninyi wenyewe mnaosema hivyo mnaweza msilijue hilo lakini huo ndiyo ukweli! Tunaposema haya tunaonekana tunaropoka tu lakini time will tell!
Mimi siyo CCM na simpendi Gwajima.
Mimi siyo Chadema ila nampenda sana Sugu.







