Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Jamani daddy kwani hamjui kuwa CCM ni Magu na Magu ni CCM? Na hii ndiyo sababu kwanini ni ngumu kumuamini mtu anayesema eti yeye siyo CCM ila anampenda Magu au mtu aseme yeye ni CCM ila hampendi Magu technically hilo haliwezekani!

Japo ninyi wenyewe mnaosema hivyo mnaweza msilijue hilo lakini huo ndiyo ukweli! Tunaposema haya tunaonekana tunaropoka tu lakini time will tell!
Mimi siyo CCM ila magufuli nampenda.
Mimi siyo CCM na simpendi Gwajima.

Mimi siyo Chadema ila nampenda sana Sugu.
 
Kweli dunia haiko fair.
Njoo tubadilishane.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] haki nimecheka, kumbe unatamani kuwa mnene.

Nina rafiki yangu huyo ni mfupiii halafu mwembambaaa huwa tunamuita "cha upepo" (you can imagine how skinny she is) lakini eti kuliko kuwa mnene naona bora niwe kama huyo. Namuonea wivu she can eat anything at anytime na hanenepi ila sisi wengine sasa woii mie napenda sana kula ila mwili ndiyo unanifelisha maana nikila kidogo tu nafutuka kama nini sijui! [emoji2296][emoji2296][emoji2296][emoji2296]
 
Lakini mnajua nini! At the end of the day kila mtu ana haki na uhuru wa kusupport chama chochote anachokitaka na kiongozi yeyote anayemtaka haya mambo wala siyo ya kulazimishana wala kuleta uadui kati yetu bali huwa tunaeleweshana tu ili tujue ni wapi nchi yetu inakoelekea!
Mie sina undugu nao kabisa.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] haki nimecheka, kumbe unatamani kuwa mnene.

Nina rafiki yangu huyo ni mfupiii halafu mwembambaaa huwa tunamuita "cha upepo" (you can imagine how skinny she is) lakini eti kuliko kuwa mnene naona bora niwe kama huyo. Namuonea wivu she can eat anything at anytime na hanenepi ila sisi wengine sasa woii mie napenda sana kula ila mwili ndiyo unanifelisha maana nikila kidogo tu nafutuka kama nini sijui! [emoji2296][emoji2296][emoji2296][emoji2296]
Cha upepo [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji119]
Mimi ningekuwa mfupi sijui ningekuwaje[emoji848]

Ila unene ni hasara,kuna ndugu zangu wanapambana nao hapa yaani unene umekuwa Vita[emoji16]
 
Cha ajabu wananchi ndo wanauchungu sana kuliko hata hao viongozi..
Niliwahi kupoteza rafiki ambaye tumeishi vizuri kwa miaka mingi,akanichukia na kuniporomoshea matusi kisa tu sikuwa upande wake.
Kuna sehemu nilikuta wanapigana kisa mabishano ya siasa..ujinga mtupu..kesho na keshokutwa viongozi wanakaa pamoja wanapiga story maisha yanaenda.
😀😀 hongera kwa kumpoteza rafiki muhafidhina
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Unataka kunipa nazo?
Akhsante

Ila hata usiponipa nitatafuta
Mwishowe utasema nikuletee na wafanyakazi , mbegu I'm not sure pale kilimo uyole b mkubwa anachukuaga zile nzuri nitauliza miundombinu ikoje maana wanajigawaniaga tu [emoji3][emoji3]Mali za CCM
 
Lakini mnajua nini! At the end of the day kila mtu ana haki na uhuru wa kusupport chama chochote anachokitaka na kiongozi yeyote anayemtaka haya mambo wala siyo ya kulazimishana wala kuleta uadui kati yetu bali huwa tunaeleweshana tu ili tujue ni wapi nchi yetu inakoelekea!
Shida ni pale watu hadi wanazichapa[emoji23][emoji23][emoji23]
Haki Kuna watu Wana matumizi mabovu ya nguvu zao
 
Cha upepo [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji119]
Mimi ningekuwa mfupi sijui ningekuwaje[emoji848]

Ila unene ni hasara,kuna ndugu zangu wanapambana nao hapa yaani unene umekuwa Vita[emoji16]
We acha tu! Yaani unene unatufanya tushindwe kufaidi vitu vizuri!

Shukuru uko mrefu my dear! Kenyewe kale ni ka chei chei halafu kanafukia balaa!
 
Back
Top Bottom