The Professor
JF-Expert Member
- Apr 30, 2013
- 2,223
- 4,580
Hao jamaa wa mambo ya urembo hawana tofauti na ma trainer hawa majamaa wa issue za gym ...Unaona sasa mkuu, hivi vitu vipo yani mkuu mwanamke ni rahisi sana kuanguka dhambini, na wanaume sisi huwa tunajua madhaifu yao na vijana hao wakipapasa tu wanakula especially kukiwa na mazingira yanayoruhusu ndiyo basi tena, na wanaofanyiwa hivyo wengi ni wake za watu, vijana wanakula bila kuacha
Ndio maana mimi binafsi ikija katika suala la ndoa hua naona ndoa ni kama kamari..
Kama huyo niliyemsemea kwa mazingira yale ni ngumu sana mwanamke kutoka salama, hata kama jamaa asipotaka mzigo lakini kuna possibility kubwa mwanamke akabaki na matamanio nae n hivi jamaa wanajikutaga wanajua sana ku care.







