Jadda
JF-Expert Member
- May 20, 2019
- 31,540
- 88,485
Hiyo barabara sipiti Tena Mimi
Nilikuwa sijawahi pita aisee Ni hatari Sana.
Dereva awe mzuri..barabara imening'inia mlimani






eti barabara imening'inia mlimani
Hiyo barabara sipiti Tena Mimi
Nilikuwa sijawahi pita aisee Ni hatari Sana.
Dereva awe mzuri..barabara imening'inia mlimani






eti barabara imening'inia mlimaniSi ndio hapo sasa! Kama wanajiamini kuwa Lissu asingeshinda kwanini wameiba kura si wangeacha ili kuonyesha kuwa wanajiamini!Sasa kama Lissu alikuwa hawezi kushinda zile sandarusi za kura fake pamoja na viroba vya kura fake ambavyo CCM ilikamatwa navyo vilitoka wapi?
Mdogo wangu huo utetezi ulishapitwa na wakati! Tena mlivyo hamna haya wala soni mnaiba kura kizamani hadi mnashitukiwa!Ziko wapi kura feki??
Mimi sijaziona,wewe kama umeziona basi kawasaidie wagombea wako kuzipeleka mahakamani au Nec.
Mdogo wangu huo utetezi ulishapitwa na wakati! Tena mlivyo hamna haya wala soni mnaiba kura kizamani hadi mnashitukiwa!




Hiyo barabara ni noma sijapata kuona,Dereva asipokuwa makini mnadumbukia huko chini,we jaribu siku moja upite,si unapenda safari![]()
eti barabara imening'inia mlimani

Chadema wakishinda uchaguzi ni wa haki,Si ndio hapo sasa! Kama wanajiamini kuwa Lissu asingeshinda kwanini wameiba kura si wangeacha ili kuonyesha kuwa wanajiamini!
Yah ni matunda adimu sana kama hauna mti wake si rahisi kuyala .Tunda kama tunda sijayala muda mrefu,
MamboElly
Mweeeeh!Mwenyewe hili nalipenda pia.
Nimecheka tu na hiyo mtetea🤣
Nini lakini?
Kumbe mccm huyuMdogo wangu huo utetezi ulishapitwa na wakati! Tena mlivyo hamna haya wala soni mnaiba kura kizamani hadi mnashitukiwa!







Mimi si mwanachama wa chama chochoteKumbe mccm huyu
![]()
Leo unakana tenaMimi si mwanachama wa chama chochote
Lini nilikuwa mwanachama?Leo unakana tena