Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

IMG_20201022_072955_9.jpg
 
Hao jamaa wa mambo ya urembo hawana tofauti na ma trainer hawa majamaa wa issue za gym ...
Ndio maana mimi binafsi ikija katika suala la ndoa hua naona ndoa ni kama kamari..

Kama huyo niliyemsemea kwa mazingira yale ni ngumu sana mwanamke kutoka salama, hata kama jamaa asipotaka mzigo lakini kuna possibility kubwa mwanamke akabaki na matamanio nae n hivi jamaa wanajikutaga wanajua sana ku care.
Kwahiyo mkuu tusioe tu mkuu maanaa ni karaha, ila ngoja nioe tu nitajua nitambana wapi au vipi
 
Najua ya kwamba Waweza kufanya mambo yote
Na makusudi yako hayawezi kuzuiliwa.

Mungu unayeishi,Alpha na Omega
Weee ni mkuu Sana

Moyo wangu unavuja damu[emoji174] ila kwako lipo tumaini[emoji119][emoji24]View attachment 1619377
Pole kwa msiba. Mpendwa wako apate pumziko jema [emoji1545][emoji1545][emoji1545]
 
Back
Top Bottom