Ainsy
Member
- Oct 31, 2020
- 21
- 58
PeraNini hiyo
PeraNini hiyo
Nipe namimiPera
Kwani msisimuko ni lazima uwe umemkubali mtu ndiyo unausikiaBe that as it may.....bado sioni ni namna gani watu wanaweza pandisha hisia hovyo hovyo kisa kuguswa tu na mtu yeyote![]()
Like seriously......![]()
Ni sawa sawa sahivi mtu achukue cotton buds akutoe uchafu sikioni, je utasikia uchungu au vingineBe that as it may.....bado sioni ni namna gani watu wanaweza pandisha hisia hovyo hovyo kisa kuguswa tu na mtu yeyote![]()
Like seriously......![]()
Guu la beerHope every one is having a great evening!View attachment 1618067
Kumbe hujui kuna mdada alimwambia dogo mmoja kwenye daladala kuwa unavyonipapasa hunisisimui nakuona upo kama mimi tuKwani msisimuko ni lazima uwe umemkubali mtu ndiyo unausikia
foot 😘😘😘😘
Hana lolote huyu..
Kama juzi kati kuna member kaleta uzi wake( nimemsahau jina) akaanza kutaja member wa humu..Saa ngapi hajanitaja mimi eti na Unyakyusa wangu.. Nilichekaa..
Nikataka nikutag uje ujioneee..




Black is beauty
feet 😘 😘 😘 😘Hope every one is having a great evening!View attachment 1618067
Kuna mtu litampata jambo Elly..
Habari za asubuhi mpendwaKuna mtu litampata jambo Elly..
Au ukiupata naomba link. Maana hiyo tag naweza nisiione kabisa.Ngoja niutafute uje ucheke.
Poa..Au ukiupata naomba link. Maana hiyo tag naweza nisiione kabisa.
I guess hapo ndo watu tunapotofautiana 😏😏Ni sawa sawa sahivi mtu achukue cotton buds akutoe uchafu sikioni, je utasikia uchungu au vingine
🤗😘foot 😘😘😘😘
Ndo hivyo....Kumbe hujui kuna mdada alimwambia dogo mmoja kwenye daladala kuwa unavyonipapasa hunisisimui nakuona upo kama mimi tu