Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

I guess hapo ndo watu tunapotofautiana

Mf. Kwangu mimi massage ya spa/salon itanifanya ni-relax lakini haiwezi kunipa hisia hizo unazozizungumzia. Yani kwa ufupi ni kwamba kushikwa mkono tu na mtu nnaemuelewa ni much more effective kuliko full body massage from a stranger.
Lizy kama lizy sawa mama la mama, lakini hawa vijana wa kucha wanatembelea nyota sana ni noma wanakunja sana dada zetu
 
Twende kwenye jukwaa la siasa ukajibu mashtaka kwa nini umeipigia kura CCM ambayo safari hii badala ya kuiba kura imelawiti uchaguzi
Bado tu mnalialia??
Poleni Sana..hivi na Wewe uliamini kabisa Lisu atashinda?

Vijana wengi wanaopiga porojo Wala sio wapiga kura,wapiga kura wengi ni wazee na wazee wanachagua CCM.
 
Lizy kama lizy sawa mama la mama, lakini hawa vijana wa kucha wanatembelea nyota sana ni noma wanakunja sana dada zetu
😆😆😆 hiyo ishu nasikiaga sana na najua ipo ila bado ni ngumu kumeza 🤓

Ila na nyie muwe mnawapa wapa wapenzi wenu mahaba heavy wasiwe wanadanganyika na vitu vidogo vidogo. Jifunzeni kufanya foot rub na massage, massage kidogo wawe wana-enjoy every now and then.
 
Back
Top Bottom