Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 89,332
- 176,114
Sawa dogo, hujambo?Nimedandia treni kwa mbele![]()
Sawa dogo, hujambo?Nimedandia treni kwa mbele![]()
We nani? Tunafahamiana?Sawa dogo, hujambo?





Dogo wewe na adabu zako mshikamane ala!We nani? Tunafahamiana?
Halafu ukome kuniita dogo. Naweza kukuzaa wewe ohooo!![]()
😅😅😅Uyo Mp ni mimi
Mama mafurushi banaDogo wewe na adabu zako mshikamane ala!






Saluni kabisa??? 🙄🙄Nasikia hiyo huduma ya kusafisha kucha huwa inawapaga raha na msisimuko
Milele itakuwa baada ya kuondoka huu ulimwengu wa shida.Na hata milele
Amina
Hujambo mpendwa



huwa naenjoy sana chit chats zenu yaniSio mbaya sana 😏😏 Kwako??Habari ya uzima
Niko salama kabisa kwa matumizi ya binadamuMilele itakuwa baada ya kuondoka huu ulimwengu wa shida.
Mimi sijambo,hofu kwako.
Kwangu ni salama mpendwaSio mbaya sanaKwako??
Hapo anataka kutuchokoza tu wanyakyusa wala hana lolote
Basi usiwe unahamaki hivyo kwa jina lake. Anaweza akatokea hapo ukashindwa cha kumwambia 🙂🙂Nikifafanua nitaharibu![]()