Zeemadeit
JF-Expert Member
- Oct 16, 2020
- 878
- 1,739
safi pia..hapa hapa mjiniSafi pande hii, wewe je? , wapi huko
safi pia..hapa hapa mjiniSafi pande hii, wewe je? , wapi huko
Mama mafurushi bana
Na kwa vile sasa wameruhusu watu kubadilisha ID wenyewe tutatukanwa mpaka tukome wallahi![]()





Tumilo twako hutu tunaniachaga hoi kwa sababu mimi hapo ni finyango moja tu kisahani cheupe. Kwa ulaji huu utakuwa na kafigure kamoja matata sana





Hana lolote huyu..Hapo anataka kutuchokoza tu wanyakyusa wala hana lolote
🤣🤣🤣 sasa we si mwanaume Shimba. Ila mwili wenyewe hata hauna adabu, unanichosha tu 🥴🥴🥴🥴Tumilo twako hutu tunaniachaga hoi kwa sababu mimi hapo ni finyango moja tu kisahani cheupe. Kwa ulaji huu utakuwa na kafigure moja matata sana![]()
Miguu ni sehemu sensitive sanaSaluni kabisa???
Sio rahisi kihivyo kupata msisimko kwa mtu tu hata hisia nae sina.
Hmm..Saluni kabisa??? 🙄🙄
Sio rahisi kihivyo kupata msisimko kwa mtu tu hata hisia nae sina.
Halafu mnaulizana makabila ya nini? Mnataka kutambika? (In Mwl. Nyerere's voice)Hana lolote huyu..
Kama juzi kati kuna member kaleta uzi wake( nimemsahau jina) akaanza kutaja member wa humu..Saa ngapi hajanitaja mimi eti na Unyakyusa wangu.. Nilichekaa..
Nikataka nikutag uje ujioneee..






Be that as it may.....bado sioni ni namna gani watu wanaweza pandisha hisia hovyo hovyo kisa kuguswa tu na mtu yeyote😏😏Miguu ni sehemu sensitive sana
Ulianzisha wewe.. siye tunamalizia.Halafu mnaulizana makabila ya nini? Mnataka kutambika? (In Mwl. Nyerere's voice)
We Makiseo kwani kabila gani? Isije ikawa ni dadangu kabisa wa Nyakabindi unanisanifu tu hapa?![]()







