Dooh mie nilikuwa sijuiWewe na mama mkubwa wako ni wale wale tu. Kabila kasema ni Mnyakyusa![]()
. Leo umeamua kuwa mkorofi eeeh!? Akija hapa na misosi yake mi ntakukana kuwa sikufahamu.






Ohoo wanakutana tenaJiandae na Aquaman 2 atakuwepo Emilia na baba yako Jason momoa..
Ryan nae soon Yupo MCU
View attachment 1617921


Oooooh!!!! Kumbe.hapana wanaweka interval ya muda nadhani ni kila baada ya mwezi, siyo muda wowote tu.
ma mkubwa na we umeanza kuvuta bangi


Shimba huyo kasababisha Mwanangu.Yes Mah
Umesikia wapi???Wewe na mama mkubwa wako ni wale wale tu. Kabila kasema ni Mnyakyusa![]()
Anafanya kubahatisha.. nimemuuliza amesikia wapi?Dooh mie nilikuwa sijui
Eti mama mkubwa ya kweli hayo
Nyakabindi tena.... Makiseo ebu funguka vizuri habari za nyakabindi
Kwetu sisi simba jike anaitwa hivyo hivyo Shimba. Hana jina la kilugha..
Hii habari ya Nyakabindi ngoja nimuachie T 1990 ELY ndiye alianzisha.
Sent using Jamii Forums mobile app

Weweeeeee....Nimekuelewa vizuri.Hayaga namhala. Nalūgūbegejaga aganikī kenako nkoyi. Galīdaka guza gūgūgisha Nyakabindi![]()
Hahaha....umemuelewaje vizuri?Weweeeeee....Nimekuelewa vizuri.