Iceberg9
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 26,670
- 50,985
Nasikia hiyo huduma ya kusafisha kucha huwa inawapaga raha na msisimuko
Nasikia hiyo huduma ya kusafisha kucha huwa inawapaga raha na msisimuko
SafiiWimbo wangu pendwa![]()

Nini hiyo
Safi pande hii, wewe je? , wapi hukoHope every one is having a great evening!View attachment 1618067
Asante mpenziNimependa namna ulivyotengeneza hizo nywele.
Tuma nyingine uliyogeukia mbele tuoneAsante mpenzi

Hali ya hewa nzuri sanaKilimo sio
Juzi,leo na jana
Talk to me Ely 🙂🙂
Dom au mbeya? Upo poaHali ya hewa nzuri sana
SongweDom au mbeya? Upo poa
Habari ya uzimaTalk to me Ely![]()
Niko poa kabisa, kape hi.Haha kanadunda tu. Asante. Uko poa mwenyewe?
Hili jina Karma sijui analipendea nini, hivyo kumfurahisha nimeona nilirudishe tu.Yaaaani.
Naona uchaguzi umetufanya turudie jina letu mdogo wangu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Na wanameza wakati tu kampunga kanasoma.
Wajomba wameza mashoka hawaishagi aise