Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,379
Nawe una mpango wa kubadili ID?Unajua kuna kitu umenifumbua hapa...
Ina maana JF sasa hivi imempa mtumiaji uwezo wa kujibadilishia ID peke yake na siyo kazi ya Mods tena?
Kama ni hivyo mbona kuna watu watabadili ID kila siku
Sent using Jamii Forums mobile app





