Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Eti watu wa Nyakabindi.. Usinitafute ubaya Shimba

Sent using Jamii Forums mobile app
Nyakabindi - kama vile Old Maswa, Mwakibuga, Sapiwi, Bupandagila, Dutwa - ni jina tu la kijiji cha kwetu. Halina maana mbaya

Simba Jike mnaitaje kwa kilugha chenu? Watoto wa kishua nyie si ajabu hujui neno hata moja katika lugha ya kabila lako.
 
Nyakabindi, Old Maswa, Mwakibuga, Sapiwi, Bupandagila, Dutwa....ni maneno tu ya vijiji vya kwetu. Halina maana mbaya

Simba Jike mnaitaje kwa kilugha chenu? Watoto wa kishua nyie si ajabu hujui neno hata moja katika lugha ya kabila lako.
Sisi tunaita hivyo hivyo Simba Jike..
Nyie mnaitaje tena?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unajua kuna kitu umenifumbua hapa...
Ina maana JF sasa hivi imempa mtumiaji uwezo wa kujibadilishia ID peke yake na siyo kazi ya Mods tena?

Kama ni hivyo mbona kuna watu watabadili ID kila siku

Sent using Jamii Forums mobile app
hapana wanaweka interval ya muda nadhani ni kila baada ya mwezi, siyo muda wowote tu.
 
Back
Top Bottom