Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Nataka nijiite MASHIMBA[emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
Shimba - simba

Shimba ya Buyenze - Simba dume lenye manyoya

Mashimba - Masimba makubwa ya kutisha

Shimba Ng'hima - Simba Jike

Gashimba - Simba Mutoto

Chagua mojawapo kati ya hayo watu wa Nyakabindi tufanye sherehe [emoji16][emoji16][emoji16][emoji870][emoji870][emoji870]
 
Shimba - simba

Shimba ya Buyenze - Simba dume lenye manyoya

Mashimba - Masimba makubwa ya kutisha

Shimba Ng'hima - Simba Jike

Gashimba - Simba Mutoto

Chagua mojawapo kati ya hayo watu wa Nyakabindi tufanye sherehe [emoji16][emoji16][emoji16][emoji870][emoji870][emoji870]
Eti watu wa Nyakabindi[emoji23][emoji23][emoji23].. Usinitafute ubaya Shimba

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Eti watu wa Nyakabindi[emoji23][emoji23][emoji23].. Usinitafute ubaya Shimba

Sent using Jamii Forums mobile app
Nyakabindi - kama vile Old Maswa, Mwakibuga, Sapiwi, Bupandagila, Dutwa - ni jina tu la kijiji cha kwetu. Halina maana mbaya [emoji16][emoji16]

Simba Jike mnaitaje kwa kilugha chenu? Watoto wa kishua nyie si ajabu hujui neno hata moja katika lugha ya kabila lako.
 
Nyakabindi, Old Maswa, Mwakibuga, Sapiwi, Bupandagila, Dutwa....ni maneno tu ya vijiji vya kwetu. Halina maana mbaya [emoji16][emoji16]

Simba Jike mnaitaje kwa kilugha chenu? Watoto wa kishua nyie si ajabu hujui neno hata moja katika lugha ya kabila lako.
Sisi tunaita hivyo hivyo Simba Jike..
Nyie mnaitaje tena?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mtetea[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
Lugha gani hii? Nahisi kama ni kamba hii aisee. Mtetea haihusiani na kuku kweli? Dah!

Kawe na siku njema; na karibu sana Nyakabindi [emoji16][emoji16][emoji16][emoji2099][emoji2099][emoji2099]
 
Lugha gani hii? Nahisi kama ni kamba hii aisee. Mtetea haihusiani na kuku kweli? Dah!

Kawe na siku njema; na karibu sana Nyakabindi [emoji16][emoji16][emoji16][emoji2099][emoji2099][emoji2099]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwetu sisi simba jike anaitwa hivyo hivyo Shimba. Hana jina la kilugha..

Hii habari ya Nyakabindi ngoja nimuachie T 1990 ELY ndiye alianzisha.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unajua kuna kitu umenifumbua hapa...
Ina maana JF sasa hivi imempa mtumiaji uwezo wa kujibadilishia ID peke yake na siyo kazi ya Mods tena?

Kama ni hivyo mbona kuna watu watabadili ID kila siku[emoji3]

Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hapana wanaweka interval ya muda nadhani ni kila baada ya mwezi, siyo muda wowote tu.
 
Back
Top Bottom