Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,249
AmenSio mbaya taratibu taratibu...ikiwa itampendeza Bwana na ikawe hivyo
Mwalimu kidogo kanichangamsha.. nilikuwa nimepoa sana..yaani nimekuwa mzembe kupindukia,utadhani nilishamaliza kila kitu yaani kumbe sijui chochote

Mungu huyu basi tu anatuhurumia na kutupa nafasi tena.










