Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,246
Ukimshirikisha Mungu hakuna linaloshindikana.Mdogo wangu Mambo ni magumu haya Ila sijui ni kwa wote I personally suala la selection bado Niko slow mnooo
Sent from my TECNO KC6 using JamiiForums mobile app
Tatizo huwa hamtaki kusali na kumsikia Mungu.
Mnajiendea endea tu mnavyotaka..lazima ukubali kulipa gharama ya muda na utii wa kusikia,
Huwezi ukasikia Kama huna Roho mtakatifu,Huwezi kuwa Naye Kama mazingira yako si masafi,anakaa mahala pasafi tu.
Angalia hayo,kuna sehemu utakuwa unakosea..
Pia muulize Mungu majira yako sahihi ya wewe kuingia huko Kama bado hayajafika au tayari.





