Mnasikiliza sound zangu?




1.Weka Neno la MUNGU kwa wingi ndani yako na litumie Neno lake maana halirudi bure
Neno la MUNGU ni Mungu Yoh 1:1(b)
Yeye mwenyewe alisema
"Ninyi mkikaa ndani yangu,na maneno yangu yakikaa ndani yenu,ombeni mtakalo lote nanyi mtatendewa"
You 15:7
"Maana Kama vile mvua ishukavyo,na theluji,kutoka mbinguni,wala hairudi huko;Bali huinywesha ardhi na kuzalisha na kuichipuza,ikampa mtu apandaye mbegu,na mtu alaye chakula;
ndivyo litakavyokuwa neno langu,litokalo katika kinywa changu;halitanirudia bure,bali litatimiza mapenzi yangu
Nalo litafanikiwa katika mambo Yale niliyolituma"
Isaya 55:10
2,Sadaka(sacrifice)
Do not pray empty words..
There is so sacrifice in something that costs you nothing..
Sacrifice inajenga memorial kwa Mungu
Mfano ni Cornelio
Acts 10:3
Sadaka zake zilipiga kelele mbele za Mungu