Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Yapo
Utayaona kadiri utakavyoendelea kujifunza.

Sasa nguvu za kugombana nikose,hadi za kutype Jamani lol! siwezi.
Yaani Leo bila yule kuacha tungekesha pale.

Mimi huwa naongea ninacho kiamini na huwa sipo tayari kubadili msimamo katika kitu
Hongera Sana madam wangu, tunaitaji wanawake watetea haki Kama ww,


Hivi hukuchukua hata form ya viti maalum
 

Boss katika vitu nimeshindwa ni kuandika "t" na kuweka hicho kimkato katikati..yaani najikuta naweka juu kabisa Tena naweza weka juu Zaidi ya hapo.
Nimejikuta nazoea kuweka huo mkato baada ya kumaliza kuandika neno.
Halafu haya mazoea yamejenga tabia

Nina tatizo hilo na kwenye kuandika HView attachment 1532270View attachment 1532272
kuna watu mna miandiko duhh
huu mwandiko kwenye ms word, excel haupo kweli kama haupo wauongeze aiseeee
 
So Cardi B and Meg Thee Stallion broke the internet last week with WAP!

Certified freaks....😄

DA401865-4D45-4166-AAFA-978B26010A0C.jpeg
 
Hahaha I think you have a point here dad, basi ndiyo maana hata mimi siku hizi nimeacha yale masuala ya kuanzisha mada za mbalansisho kati ya me na ke na kubishana na wanaume kuhusu hayo masuala.

Nafikiri ule haukuwa uhalisia wangu bali nilikuwa nafake ili nami nionekane niko vizuri kwenye mambo ya feminism, nimejitahidi sana kufake na nilijua nitafika mbali ila matokeo yake sijamaliza hata mwaka humu JF nimejikuta nimerudi kwenye uhalisia wangu na watu wengi sasa ndiyo wameanza kunijua the real me.
Wacha bwana!!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom